Skip to main content

Usafiri Mgumu Dar kubaki historia

Changamoto za usafiri nchini Tanzania hususani katika majiji 
makubwa zipombioni kupunguzwa ama kumalizika.

 Hayo yamebainishwa jana  na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Poul Makonda
kwa niaba ya Makamu wa Rais Samia Suluhu Hasssani katika mkutano
na wadau wa usafiri kutoka nchini zaidi ya 36 duniani ambao
wako hapa nchini kujadili namna sahihi ya kumaliza changamoto
za usafiri nchini Tanzania utakao fanyika kwa siku tatu kuanzia
leo jijini humo.

  Alisema hawa ni wataalam walioboba katika masuala ya usafiri
ambao wameichagua Tanzania kuwa mwenyeji wao baada ya Tanzania
kupata tuzo ya kwanza katika utoaji wa huduma bora ya usafiri
barani Afrika baada ya kuanzisha usafiri wa mabasi yaendayo
kasi (UDART)ambayo kwa kiasi kikubwa yamepunguza msongamano
wa magari katikati ya jiji la Dar es Salaam na kero ambazo
miaka mitano iliyopita zilikuwa tishio.

  "Moja ya changamoto za usafiri sio tu kumiliki gari au chombo
cha usafiri tatizo lipo pale ambapo ni jinsi gani ambapo
unatoka sehemu moja kwenda nyingine kwa wakati ulio kusudiwa,"
alisema Makonda.

  Alisema ukiangalia hapa Dar es Salaam ongezeko la watu limefikia
Milioni 6 kwa sasa na inakadiriwa kuwa baada ya miaka 10 ijayo
watu watafikia milioni 10,hivyo ujio wa wataalamu hao wenye
uzoefu wa utatuzi wa changamoto duniani utakuwa suluhu ya matatizo
ya usafiri hususani katika jiji la Dar es Salaam na majiji mengine.

  Aidha amesema awamu ya pili ya mradi ya mabasi ya mwendo kasi
kuanzia katikati ya jiji hadi mbagala itaanza mwezi wa 12 mwaka 
huu na awamu ya tatu itatoka mjini kwenda uwanja wa ndege na ya 
nne ni kutoka  mjini hadi Tegeta na zita hitimishwa awamu nyingine
mbili hadi zifikie sita kulingana na maeneo ya jiji na baada ya 
kukamilika zote hakuta kuwa tena na matatizo ya usafiri.


  Kwa upande wake mwanzilishi wa mamlaka ya leseni na mjumbe
wa rufani za kodi Devid Mwaibula alisema ujio wa ugeni huo
ni fursa zaidi kwa watanzania kufanya vizuri zaidi katika
huduma ya usafiri duniani baada ya kuondokana na mifumo
ya kizamani ya kupanga rangi magari na kuweka ufito kuelekeza
ruti ambayo gari inatoa huduma na kuingia mfumo wa kisasa
zaidi wa kielektroniki .

 "changamoto inayotusumbua ni ugumu wa mioyo ya madereva wasio
heshimu barabara za mwendo kasi na kuzitumia kwa matumizi yasiyo
kusudiwa,"alisema Mwaibula.

  Kwa upande wake mtendaji Mkuu wa Mabasi yaendayo kasi(BRT)
Donald Rwakatare alisema mradi wa awamu ya kwanza umeongezwa
mabasi kutoka 140 hadi 305.

  Kadhalika wapo katika mchakato wa kumpata mzabuni mpya
wakuongeza mabasi mengine zaidi.

  "Awamu ya kwanza imekamilika na tayari zabuni imeisha tangazwa
kwa ajili ya awamu ya pili itakayo jumuisha ruti za Mbagala hadi
kati kati ya jiji la Dar es Salaam ambayo ni kwa hisani ya 
Banki ya Africa na awamu ya tatu tayari wamepata pesa ambayo
ni dola Milioni 41 kutoka Benki ya Dunia pamoja na awamu ya
nne awamu ya tano na yasita benki ya dunia itatoa pesa kwaajili
ya usanifu hivyo wanakaribisha wafadhili wengine kumalizia
mbili zilizo baki,"alisema Rwakatare.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...