Skip to main content

Usafiri Mgumu Dar kubaki historia

Changamoto za usafiri nchini Tanzania hususani katika majiji 
makubwa zipombioni kupunguzwa ama kumalizika.

 Hayo yamebainishwa jana  na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Poul Makonda
kwa niaba ya Makamu wa Rais Samia Suluhu Hasssani katika mkutano
na wadau wa usafiri kutoka nchini zaidi ya 36 duniani ambao
wako hapa nchini kujadili namna sahihi ya kumaliza changamoto
za usafiri nchini Tanzania utakao fanyika kwa siku tatu kuanzia
leo jijini humo.

  Alisema hawa ni wataalam walioboba katika masuala ya usafiri
ambao wameichagua Tanzania kuwa mwenyeji wao baada ya Tanzania
kupata tuzo ya kwanza katika utoaji wa huduma bora ya usafiri
barani Afrika baada ya kuanzisha usafiri wa mabasi yaendayo
kasi (UDART)ambayo kwa kiasi kikubwa yamepunguza msongamano
wa magari katikati ya jiji la Dar es Salaam na kero ambazo
miaka mitano iliyopita zilikuwa tishio.

  "Moja ya changamoto za usafiri sio tu kumiliki gari au chombo
cha usafiri tatizo lipo pale ambapo ni jinsi gani ambapo
unatoka sehemu moja kwenda nyingine kwa wakati ulio kusudiwa,"
alisema Makonda.

  Alisema ukiangalia hapa Dar es Salaam ongezeko la watu limefikia
Milioni 6 kwa sasa na inakadiriwa kuwa baada ya miaka 10 ijayo
watu watafikia milioni 10,hivyo ujio wa wataalamu hao wenye
uzoefu wa utatuzi wa changamoto duniani utakuwa suluhu ya matatizo
ya usafiri hususani katika jiji la Dar es Salaam na majiji mengine.

  Aidha amesema awamu ya pili ya mradi ya mabasi ya mwendo kasi
kuanzia katikati ya jiji hadi mbagala itaanza mwezi wa 12 mwaka 
huu na awamu ya tatu itatoka mjini kwenda uwanja wa ndege na ya 
nne ni kutoka  mjini hadi Tegeta na zita hitimishwa awamu nyingine
mbili hadi zifikie sita kulingana na maeneo ya jiji na baada ya 
kukamilika zote hakuta kuwa tena na matatizo ya usafiri.


  Kwa upande wake mwanzilishi wa mamlaka ya leseni na mjumbe
wa rufani za kodi Devid Mwaibula alisema ujio wa ugeni huo
ni fursa zaidi kwa watanzania kufanya vizuri zaidi katika
huduma ya usafiri duniani baada ya kuondokana na mifumo
ya kizamani ya kupanga rangi magari na kuweka ufito kuelekeza
ruti ambayo gari inatoa huduma na kuingia mfumo wa kisasa
zaidi wa kielektroniki .

 "changamoto inayotusumbua ni ugumu wa mioyo ya madereva wasio
heshimu barabara za mwendo kasi na kuzitumia kwa matumizi yasiyo
kusudiwa,"alisema Mwaibula.

  Kwa upande wake mtendaji Mkuu wa Mabasi yaendayo kasi(BRT)
Donald Rwakatare alisema mradi wa awamu ya kwanza umeongezwa
mabasi kutoka 140 hadi 305.

  Kadhalika wapo katika mchakato wa kumpata mzabuni mpya
wakuongeza mabasi mengine zaidi.

  "Awamu ya kwanza imekamilika na tayari zabuni imeisha tangazwa
kwa ajili ya awamu ya pili itakayo jumuisha ruti za Mbagala hadi
kati kati ya jiji la Dar es Salaam ambayo ni kwa hisani ya 
Banki ya Africa na awamu ya tatu tayari wamepata pesa ambayo
ni dola Milioni 41 kutoka Benki ya Dunia pamoja na awamu ya
nne awamu ya tano na yasita benki ya dunia itatoa pesa kwaajili
ya usanifu hivyo wanakaribisha wafadhili wengine kumalizia
mbili zilizo baki,"alisema Rwakatare.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.