Skip to main content

Nigeria: Boko Haram, tishio kwa uchaguzi na usalama

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan (akinyoosha mkono juu) katika mkutano na wafuasi wake katika mji wa Gombe Jumatatu, Februari 2 mwaka2014.
Raia wa Nigeria wanatakiwa kushiriki uchaguzi wa urais Februari 14 ili kumchagua au la Goodluck Jonathan kwa muhula wa pili kwenye kiti cha urais, wakati ambapo rais huyo amekua akikosolea kwa kushindwa kukomesha mashambulizi ya Boko Haram tangu alipoingilia madarakani.
Wakati uchaguzi huo ukikaribia, Boko Harama imezidisha mashambulizi katika baadhi ya maeneo ya Nigeria, na kudhibiti baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa nchi. Wakati Hata hivyo kulitokea mlipuko Jumatatu wiki hii katika mji wa Gombe ambapo Goodluck Jonathan alikua akiendesha mkutano na wafuasi wake, mara baada ya mkutano huo kumalizika.
Mlipuko huo ulitokea katika kituo cha magari mbele ya uwanja wa mpira, ambapo muda mchache kabla kulikua kukifanyika mkutano kati ya Goodluck Jonathan na wafuasi wake, katika mji wa Gombe, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Mlipuko huo umetokea mara tu baada ya msafara wa rais kuondoka eneo hilo. Watu wawili wamefariki katika shambulio hilo na wengine zaidi ya ishirini wamejeruhiwa. Wanawake wawili wanashukiwa kutekeleza shambulio hilo.
Kwa mujibu wa mashahidi, makumi ya ya vijana waliandamana baadae katika mji wa Gombe dhidi ya Goodluck Jonathan, kwa sababu, kama walivyobaini mashahidi hao, chanzo cha shambulio hilo ni ziara ya rais.
Ni kwa mara ya kwanza kundi la Boko Haram linaendesha shambulio likimlenga rais Goodluck Jonathan. Hii ni hali ya hatari ambayo inamkabili rais Goodluck Jonathan, siku chache kabla ya uchaguzi wa urais.
Boko Haram iliendesha hivi karibuni mashambulizi mengine mwishoni mwa juma lililopita dhidi ya mji mkuu wa Maiduguri. Hata hivyo Jumapili juma lililopita, Boko Haram iliendesha mashambulizi katika mji mkuu wa jimbo la Borno. Lakini jeshi na vikosi vya kiraia vya ulinzi walifaulu kuwarejesha nyuma wanamgambo wa Boko Haram, baada masaa matatu ya mapigano.
Hayo yakijiri, Chad iliwatuma hivi karibuni majeshi yake nchi Nigeria na Cameroon ili kukabiliana na mashambulizi ya Boko Haram, ambayo yamekithiri.
CHANZO:R.F.I

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.