Skip to main content

Nigeria: Boko Haram, tishio kwa uchaguzi na usalama

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan (akinyoosha mkono juu) katika mkutano na wafuasi wake katika mji wa Gombe Jumatatu, Februari 2 mwaka2014.
Raia wa Nigeria wanatakiwa kushiriki uchaguzi wa urais Februari 14 ili kumchagua au la Goodluck Jonathan kwa muhula wa pili kwenye kiti cha urais, wakati ambapo rais huyo amekua akikosolea kwa kushindwa kukomesha mashambulizi ya Boko Haram tangu alipoingilia madarakani.
Wakati uchaguzi huo ukikaribia, Boko Harama imezidisha mashambulizi katika baadhi ya maeneo ya Nigeria, na kudhibiti baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa nchi. Wakati Hata hivyo kulitokea mlipuko Jumatatu wiki hii katika mji wa Gombe ambapo Goodluck Jonathan alikua akiendesha mkutano na wafuasi wake, mara baada ya mkutano huo kumalizika.
Mlipuko huo ulitokea katika kituo cha magari mbele ya uwanja wa mpira, ambapo muda mchache kabla kulikua kukifanyika mkutano kati ya Goodluck Jonathan na wafuasi wake, katika mji wa Gombe, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Mlipuko huo umetokea mara tu baada ya msafara wa rais kuondoka eneo hilo. Watu wawili wamefariki katika shambulio hilo na wengine zaidi ya ishirini wamejeruhiwa. Wanawake wawili wanashukiwa kutekeleza shambulio hilo.
Kwa mujibu wa mashahidi, makumi ya ya vijana waliandamana baadae katika mji wa Gombe dhidi ya Goodluck Jonathan, kwa sababu, kama walivyobaini mashahidi hao, chanzo cha shambulio hilo ni ziara ya rais.
Ni kwa mara ya kwanza kundi la Boko Haram linaendesha shambulio likimlenga rais Goodluck Jonathan. Hii ni hali ya hatari ambayo inamkabili rais Goodluck Jonathan, siku chache kabla ya uchaguzi wa urais.
Boko Haram iliendesha hivi karibuni mashambulizi mengine mwishoni mwa juma lililopita dhidi ya mji mkuu wa Maiduguri. Hata hivyo Jumapili juma lililopita, Boko Haram iliendesha mashambulizi katika mji mkuu wa jimbo la Borno. Lakini jeshi na vikosi vya kiraia vya ulinzi walifaulu kuwarejesha nyuma wanamgambo wa Boko Haram, baada masaa matatu ya mapigano.
Hayo yakijiri, Chad iliwatuma hivi karibuni majeshi yake nchi Nigeria na Cameroon ili kukabiliana na mashambulizi ya Boko Haram, ambayo yamekithiri.
CHANZO:R.F.I

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...