Skip to main content

JK azindua Sera mpya ya Elimu, hoja za Mbatia zakumbukwa



Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Jakaya Kikwete, amezindua sera mpya ya elimu ambayo pamoja na mambo mengine, imehusisha hoja za Mbunge wa kuteuliwa (NCCR-Mageuzi), James Mbatia, alizozitoa bungeni.
Mbatia aliibua katika mikutano tofauti ya Bunge mwaka juzi na jana, akitaka serikali ipige marufuku matumizi ya vitabu tofauti vya mafunzo, kwa vile vinachangia kufifisha kiwango cha elimu nchini.
Hoja za Mbatia aliyeingia bungeni na vitabu, akikosoa Sera ya Elimu na kuibua mijadala ndani na nje ya Bunge na kumpatia umaarufu zaidi hasa kisiasa.
Jana, Rais Kikwete alizindua sera hiyo na kusema inalenga kuchochea uboreshaji wa elimu ikiwa ni pamoja kuruhusu matumizi ya kitabu cha aina moja kwa shule zote.
“Sera hii inahimiza matumizi ya kitabu kimoja wakati wa kufundisha ili kuzisaidia shule zote nchini badala ya kutumia vitabu vya aina tofauti kama ilivyo sasa, hivyo kutakuwa na kitabu cha aina moja,” alisema na kuongeza:
“Hatuwezi kuziendesha shule zetu kwa kutumia vitabu vya aina tofauti ambapo kila shule inakuwa na vitabu vyake ambavyo wamevichagua, tumeamua kuwa na kitabu kimoja kwa kila somo kitakachotumia na shule zote nchini,” alisema.
Alisema sera hiyo itazishinikiza shule binafsi kuwa na ada nafuu ambayo kila mzazi aweze kulipa na  jamii inapaswa kutambua kuwa, elimu ni huduma na siyo biashara.
Aliongeza kuwa huduma zote za binafsi zinapaswa kuwa na kiwango cha ada kinachokubalika hivyo utafiti wa uendeshaji unapaswa kufanyika kuelewa kiasi halisi kinachopaswa kulipa.
“Siyo wengine walipe shilingi milioni tano na wengine milioni sita, tunataka tuwe na kiwango kinachoelewa, hatuwezi kuendelea kuongeza kiasi cha ada bila ya kujua huduma zinazotolewa na shule kama inaendana na ada inayolipishwa,” alisema.
Alisema serikali ilipanga kwa muda mrefu kubadili sera ya elimu kwa sababu ni vigumu kuwa na maendeleo kama mfumo wa elimu sio mzuri.
Aliongeza kuwa, hakuna nchi duniani ambayo imeweza kutatua changamoto zote za elimu.
Alisema sera hiyo ya elimu imeandaliwa ili kutoa mwelekeo wa elimu na mafunzo kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi, kijamii, kisayansi na kiteknolojia.
Pia alisema changamoto za elimu na mafunzo kitaifa, kikanda na kimataifa ili kuongeza fursa, ufanisi na ubora wa elimu na mafunzo na kufikia viwango vya rasilimaliwatu kwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Alisema malengo ya sera ni kuwa na Watanzania walioelimika na wenye maarifa na ujuzi kuweza kuchangia kwa haraka katika maendeleo ya Taifa na kuhimili ushindani.
Alisema kupitia sera hiyo serikali itaweka utaratibu wa elimu ya awali kuwa ya lazima na kutolewa kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitatu hadi mitano kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Said Meck Sadiki, alisema mkoa umejaribu kukamilisha maelekezo ya Rais ya kujenga maabara mpya ambapo mpaka sasa zimejengwa 231.
Aidha, alisema mpaka sasa wanamaabara 412 katika shule za sekondari na wanatarajia kupitia maabara hizo, wanafunzi watapata elimu ya ushindani.
Naye, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alisema kuwa, sera hiyo mpya ya elimu inalenga kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kijamii kwenye sekta hiyo.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...