Skip to main content

Cristiano Ronaldo kuanza kutumika katika Digrii Sayansi ya Jamii 'Sociology'


Cristiano Ronaldo anatarajiwa kutolewa kama digrii ya Sayansi ya Jamii (Sociology) katika Chuo Kikuu cha British Columbia Okanagan cha nchini Canada
Cristiano Ronaldo anatarajiwa kutolewa kama digrii ya Sayansi ya Jamii (Sociology) katika Chuo Kikuu cha British Columbia Okanagan cha nchini Canada
Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuandaliwa kuwa somo la digrii ya miaka minne katika chuo kikuu nchini Canada.
Chuo Kikuu cha British Columbia Okanagan kinatarajia kutoa digrii ya Sayansi ya Jamii (Sociology) ikilenga umuhimu wa umaarufu wa Cristiano na athari yake kwenye jamii.
Japokuwa kozi hiyo haitegemea zaidi nguvu za kupiga mipira iliyokufa (free kicks), Profesa Lus Aguiar amesema nyota wa Real Madrid atazungumziwa zaidi.
Katika mahojiano ya hivi karibuni alisema; “Ronaldo ndio mjadala mkuu, makutano ya darasani yatamhusu Ronaldo. Kisha tutachunguza, na kupanua maudhui zaidi.
Adhabu ya Ronaldo imekwisha na anatarajiwa kurudi uwanjani dhidi ya mahasimu wao Atletico Madrid siku ya Jumamosi
Adhabu ya Ronaldo imekwisha na anatarajiwa kurudi uwanjani dhidi ya mahasimu wao Atletico Madrid siku ya Jumamosi
“Tutaanza na Ronaldo lakini Ronaldo ni kama mwanzo wa kuanza kujadili masuala makubwa ambayo yana umuhimu katika jamii zaidi ya biografia ya Ronaldo.”
Moja ya masomo (module) katika digrii hiyo inaitwa “The commodification of Cristiano Ronaldo”.
“Lakini sijui kama Ronaldo anajua chochote kuhusu kozi.”
Chuo Kikuu cha Staffordshire kinatoa kozi kama hiyo ya David Beckham.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...