Skip to main content

Cristiano Ronaldo kuanza kutumika katika Digrii Sayansi ya Jamii 'Sociology'


Cristiano Ronaldo anatarajiwa kutolewa kama digrii ya Sayansi ya Jamii (Sociology) katika Chuo Kikuu cha British Columbia Okanagan cha nchini Canada
Cristiano Ronaldo anatarajiwa kutolewa kama digrii ya Sayansi ya Jamii (Sociology) katika Chuo Kikuu cha British Columbia Okanagan cha nchini Canada
Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuandaliwa kuwa somo la digrii ya miaka minne katika chuo kikuu nchini Canada.
Chuo Kikuu cha British Columbia Okanagan kinatarajia kutoa digrii ya Sayansi ya Jamii (Sociology) ikilenga umuhimu wa umaarufu wa Cristiano na athari yake kwenye jamii.
Japokuwa kozi hiyo haitegemea zaidi nguvu za kupiga mipira iliyokufa (free kicks), Profesa Lus Aguiar amesema nyota wa Real Madrid atazungumziwa zaidi.
Katika mahojiano ya hivi karibuni alisema; “Ronaldo ndio mjadala mkuu, makutano ya darasani yatamhusu Ronaldo. Kisha tutachunguza, na kupanua maudhui zaidi.
Adhabu ya Ronaldo imekwisha na anatarajiwa kurudi uwanjani dhidi ya mahasimu wao Atletico Madrid siku ya Jumamosi
Adhabu ya Ronaldo imekwisha na anatarajiwa kurudi uwanjani dhidi ya mahasimu wao Atletico Madrid siku ya Jumamosi
“Tutaanza na Ronaldo lakini Ronaldo ni kama mwanzo wa kuanza kujadili masuala makubwa ambayo yana umuhimu katika jamii zaidi ya biografia ya Ronaldo.”
Moja ya masomo (module) katika digrii hiyo inaitwa “The commodification of Cristiano Ronaldo”.
“Lakini sijui kama Ronaldo anajua chochote kuhusu kozi.”
Chuo Kikuu cha Staffordshire kinatoa kozi kama hiyo ya David Beckham.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.