Skip to main content

Mtangazaji wa Al-Jazeera aachiwa huru Misri


Mtangazaji huyo wa zamani wa BBC aliweka kizuizini nchini Misri kwa siku 400
Mtangazaji huyo wa zamani wa BBC aliweka kizuizini nchini Misri kwa siku 400
Mwandishi wa Al-Jazeera Peter Greste amesema hatapumzika mpaka wenzake wawili waachiwe kutoka gerezani nchini Misri, imesema familia yake.
Baada ya kukaa grezani kwa siku 400, Greste aliachiwa huru na kusafirishwa siku ya Jumapili. Alitua salama nchini Cyprus, akielekea kwao Australia.
Juris na Lois Greste, wazazi wa mwandishi wa Al-Jazeera Peter Greste (picha bangoni)   pamoja na ndugu yake Andrew Greste wakiwa katika mkutano na waandishi wa habari Feb 2, 2015 mjini Brisbane, Australia
Juris na Lois Greste, wazazi wa mwandishi wa Al-Jazeera Peter Greste (picha bangoni) pamoja na ndugu yake Andrew Greste wakiwa katika mkutano na waandishi wa habari Feb 2, 2015 mjini Brisbane, Australia
Alikamatwa mwaka 2013 na kusomewa mashtaka dhidi ya kusambaza taarifa za uongo na kukisaidia chama cha Muslim Brotherhood.
Wenzake wawili wa Al-Jazeera, Mohamed Fahmy na Baher Mohamed, bado wako jela.
Peter Greste alipokuwa katika kizuizini katika gereza la Tora mjini Cairo
Peter Greste alipokuwa kizuizini katika gereza la Tora mjini Cairo
Fahmy, ambaye ana uraia wa Misri na Canada, anaweza kuachiwa baada ya kukana uraia wake wa Misri, chanzo cha rais kimeeleza.
Ila hali bado iko kwa Mohamed, ambaye hana uraia wa nchi mbili.
Greste alizungumzia suala la wafanyakazi wenzie kwa familia yake baada ya kuachiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.