Skip to main content

VIGOGO VYA SOKA :SIMBA,YANGA MAJARIBUNI TENA WIKIENDI HII




VIGOGO vya soka nchini, Simba na Yanga mwishoni mwa wiki hii vitakuwa na kazi nyingine pevu wakati vitakaposhuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu katika mechi za michuano ya ligi kuu ya Tanzania Bara.

Wakati Simba itashuka dimbani kesho kumenyana na Stand United kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, watani wao Yanga watashuka dimbani kwenye uwanja huo Jumapili kumenyana na JKT Ruvu.

Mechi zote mbili zina umuhimu mkubwa kwa Simba na Yanga kutokana na matokeo mabaya ziliyoyapata katika mechi mbili za mwanzo.

Simba ilianza ligi hiyo kwa kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Coastal Union kabla ya kulazimishwa sare nyingine dhidi ya Polisi Moro. Mechi zote mbili zilichezwa kwenye Uwanja wa Taifa.

Yanga ilianza ligi hiyo vibaya baada ya kuchapwa mabao 2-0 na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro kabla ya kuambulia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Prisons kwenye Uwanja wa Taifa, Dar.

Katika mechi zingine za ligi hiyo zitakazochezwa kesho, Polisi Moro itaikaribisha Kagera Sugar mjini Morogoro, Ndanda FC watakuwa wageni wa Coastal Union mjini Tanga, Prisons itaikaribisha Azam mjini Mbeya wakati Ruvu Shooting itacheza na Mbeya City mjini Ruvu mkoani Pwani.

Mechi nyingine itachezwa Jumapili kati ya Mtibwa Sugar na Mgambo JKT, zitakazomenyana mjini Turiani, Morogoro.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...