Skip to main content

Sasa Manyika Jr kuendelea kupewa nafasi langoni


Patrick Phiri, kocha wa Simba, amesema atamwanzisha mshambuliaji Amissi Tambwe na kipa ‘kinda’ Peter Manyika Jr katika mechi yao ya raundi ya tano ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Tanzania Prisons itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini hapa Jumamosi.

Tambwe raia wa Burundi aliyeibuka mfungaji bora wa VPL msimu uliopita, alikosa mechi ya watani wa jadi wiki iliyopita kwa kile ambacho kilielezwa na Phiri kuwa “ni dhaifu kukabiliana na mabeki wenye nguvu kama Kelvin Yondani na Nadir Haroub ‘Cannavaro’.
Mfungaji bora huyo wa Kombe la Kagame mwaka jana – Tambwe ataanza katika mechi hiyo ambayo kocha huyo amesema hawana budi kushinda ili kurejesha matumaini yaliyopotea ghafla kutwaa ubingwa wa ligi hiyo.
“Niliamua kutomtumia Tambwe katika mechi yetu dhidi ya Yanga kwa sababu mchezo wake ni wa polepole na asingeliweza kuwa tishio kwa mabeki wa Yanga, Cannavaro na Yondani kwa sababu wanatumia nguvu nyingi,” alisema Phiri na kuongeza:

“Ataanza katika mechi yetu inayofuata dhidi ya Prisons. Makipa Ivo Mapunda na (Hussein) Sharrif bado ni majeruhi, hivyo (Peter) Manyika atakuwa golini Jumamosi. Timu itaingia Mbeya kati ya Alhamisi na Ijumaa.”

Simba haijapata ushindi tangu kuanza kwa msimu huu wa VPL ikiambulia sare katika michezo yote minne ya mwanzo. Timu hiyo ya Msimbazi haijawahi kupata ushindi katika mechi za ligi hiyo tangu iifunge Ruvu Shooting 3-2 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam miezi saba iliyopita.

Tayari Kocha wa Tanzania Prisons, David Mwamaja ameshaweka wazi kwamba kikosi chake kilichopo kambini mjini hapa, hakitakubali kuwa timu ya kwanza kufungwa na Simba msimu huu na kimejipanga kuendeleza ubaya dhidi ya Wanamsimbazi Jumamosi.
CHANZO: NIPASHE.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.