Skip to main content

PICHA:MKUTANO WA KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA MAFINGA


 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi wa Mafinga wakati akiwasili kwenye uwanja wa Mashujaa .
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana na Bi.Mwigavillo Ngole ambaye amesafiri mwendo mrefu kuja kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM
 Wazee wa Kimila wakiwa uwanjani kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo walimpa Uchifu na kumtambua kwa jina la  Galiendela Matuga .
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mufindi Johanes Kaguo akifungua mkutano na kuhutubia wananchi wa Mafinga ambapo alielezea kero mbali mbali zinazowakabili wananchi wa Mafinga kwa Katibu Mkuu wa CCM.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mafinga na kuwaambia kuwa Mafinga hamna upinzani ila kuna manung'ung'uniko ya wananchi ambao hawapati taarifa za kina kuhusu masula yanayohusu ugawaji na upatikanaji wa vibali vya mbao.
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu akihutubia wananchi wa Mafinga kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa
 Umati wa watu waliofurika kwenye uwanja wa Mashujaa Mafinga kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mafinga wilaya ya Mufindi ambapo aliwaambia viongozi kuwa mstari wa mbele kusimamia haki na wajiepushe kuingia kwenye mambo ambayo yatasababisha kushindwa kuwatetea wananchi wao.
 Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa akihutubia wananchi wa Mafinga kwenye uwanja wa Mashujaa ambapo alisema waombaji wa vibali ni wengi kuliko uwezo wa serikali hivyo umeanzishwa utaratibu wa kila aliyepata kibali asiombe mara ya pili.
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akipitia taarifa mbali mbali zinazohusu wilaya ya Mufindi
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi hao ambapo aliwatajia vijiji vitakavyopata umeme ,maji na umuhimu wa kujiandikisha kwenye mfuko wa afya ya jamii.
 Wananchi wakifuatilia mkutano

 Kila mtu alikaa alipoweza kumuona Katibu Mkuu wa CCM Ndugu abdulrahman Kinana.
 Watu walikuwa mpaka kwenye ukuta wa uwanja wa Mashujaa kumsikiliza Kinana
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akimkabidhi kadi ya uanachama wa CCM Bi.Leah Msese ,zaidi ya watu 400 wamejiunga na CCM Mafinga.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Bi. Christiana Kiando wa kijiji cha Sao Hill baada ya kumaliza mkutano wa hadhara.Picha na Adam Mzee-CCM.Source www.hakingowi.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.