Skip to main content

Pamoja Films:Kuingiza Nishida Jumatatu hii






Lufingo


MSANII anayefanya tasnia ya filamu nchini Exaud Lufingo amesema kuwa
yukombioni kuingiza ujio wake mpya katika filamu iitwayo 'Nishida'
kupitia kampuni ya Pamoja Films.

Miaka miwiliiliyopita Lufingo alianza kuingiza sokoni ujio
wa filamu iliyoitwa Kisanduku , katika ujio huu msanii wa vichekesho
Senga pamoja na msanii mwingine wa kike maarufu kwa jina la Matumaini
ambao wote walishakuwa kivutio katika sanaa ya vichekesho Comeddy nchini
wamefanya poa katika ujio huo mpya.

"Ujio huu upo tayari  kuuingia sokoni jumatatu ijayo kupitia kamapuni hiyo ya Pamoja
Films ya jijini Dar es Salaam ambayo tayari imekuwa ikisambaza filamu kadhaa
katika soko la filamu nchini,"alisema.

Lufingo alisema kuwa katika ujio huo amewashirikisha wasanii wa Commedy kutokana
na kuwa filamu yote ni Commedy na kuwalengo ni kulishika soko la filamu
kwa kutumia wasanii mbali mbali wakiwemo wa vichekesho.

Kwa mujibu wa meneja wa kampuni hiyo Ambwene Mwansasu alisema kuwa tayari
ujio huo umeisha kamilika na siku hiyo ya Jumatatu kunamatumaini makubwa ya
kuingia sokoni.


Katika ujio huo pia juna baadhi ya wasanii wengine katika tasnia hiyo
wataonekana licha ya hao waliotajwa.




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.