Skip to main content

Pamoja Films:Kuingiza Nishida Jumatatu hii






Lufingo


MSANII anayefanya tasnia ya filamu nchini Exaud Lufingo amesema kuwa
yukombioni kuingiza ujio wake mpya katika filamu iitwayo 'Nishida'
kupitia kampuni ya Pamoja Films.

Miaka miwiliiliyopita Lufingo alianza kuingiza sokoni ujio
wa filamu iliyoitwa Kisanduku , katika ujio huu msanii wa vichekesho
Senga pamoja na msanii mwingine wa kike maarufu kwa jina la Matumaini
ambao wote walishakuwa kivutio katika sanaa ya vichekesho Comeddy nchini
wamefanya poa katika ujio huo mpya.

"Ujio huu upo tayari  kuuingia sokoni jumatatu ijayo kupitia kamapuni hiyo ya Pamoja
Films ya jijini Dar es Salaam ambayo tayari imekuwa ikisambaza filamu kadhaa
katika soko la filamu nchini,"alisema.

Lufingo alisema kuwa katika ujio huo amewashirikisha wasanii wa Commedy kutokana
na kuwa filamu yote ni Commedy na kuwalengo ni kulishika soko la filamu
kwa kutumia wasanii mbali mbali wakiwemo wa vichekesho.

Kwa mujibu wa meneja wa kampuni hiyo Ambwene Mwansasu alisema kuwa tayari
ujio huo umeisha kamilika na siku hiyo ya Jumatatu kunamatumaini makubwa ya
kuingia sokoni.


Katika ujio huo pia juna baadhi ya wasanii wengine katika tasnia hiyo
wataonekana licha ya hao waliotajwa.




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...