Skip to main content

Stephen Keshi apata mrithi Nigeria


Shaibu Amodu ndiye kocha mpya wa Nigeria 
 
Shirikisho La kandanda la Nigeria NFF limefichua kwamba Shaibu Amodu ndiye atakayechukua nafasi ya Stephen Keshi kama mkufunzi wa timu ya taifa ya Nigeria.


Hatua hii imechukuliwa muda mfupi tu baada ya bw. Keshi kuiongoza Nigeria katika mechi waliyoshinda kwa mabao 3-0 ingawa hakuwa amepatiwa mkataba na kufufua matumaini ya Nigeria ya kufuzu kwa dimba la kombe la Afrika litakaloandaliwa huko Morocco mwaka ujao.
Baada ya kufanya mkutano wa dharura, shirikisho la kandanda nchini Nigeria limeamua kumteua Amodu kuingoza timu ya taifa ya Nigeria katika mechi zake mbili zitakazochezwa hapo Novemba katika juhudi zao za kujikatia tiketi ya kushiriki michuano ya kombe la Afrika.
Hata hivyo wamesema mkufunzi wa kudumu kutoka nchi za kigeni ataajiriwa baadaye.
Amodu anakabiliwa na wakati mgumu kwani lazima ashinde mechi zote mbili watakazocheza ambapo mechi moja watakuwa wageni wa timu ya taifa ya Jamhuri ya kidemokrasia ya congo huku ya pili wakiwa wenyeji wa timu ya taifa ya Afrika kusini endapo watafuzu.


Aidha mabingwa hao wa bara la Afrika wapo katika hatari kubwa ya kutofuzu na kushindwa kutetea taji lao.
Ushindi walioupata dhidi ya Sudan ndio uliokuwa wao wa kwanza katika kundi A na kuisaidia kupanda ngazi kutoka mwisho. Kwa sasa wako pointi tatu nyuma ya Congo ambao wanashikilia nafasi ya pili.
"Kamati tendaji imefanya uamuzi wa kumuachilia Keshi aondoke na kumpa Shaibu Amodu mamlaka ya kuiongoza Nigeria katika mechi zake mbili zijazo," msemaji wa NFF Ademola Olajire ameiambia BBC.
.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...