Skip to main content

Wakenya wagawanyika kuhusu kura ya wabunge ya kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai


Julius Kithuure alichangia katika ripoti hii kutoka Nairobi
Wakenya wametoa sauti ya kuwa na maoni tofauti kufuatia kura iliyopigwa na watunga sheria Alhamisi (tarehe 5 Septemba) kurejesha mada ya kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataiifa ya Makosa ya Jinai (ICC).
Msimamizi wa mgahawa jijini Nairobi akiangalia matangazo ya habari za moja kwa moja tarehe 5 Septemba za majadiliano kuhusu kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. [Simon Maina/AFP]
Kura hiyo ya ishara tu haitakuwa na athari kwenye majaribio yanayokuja ya Makamu wa Rais William Ruto na Rais Uhuru Kenyatta, na bunge lazima lipige kura baadaye kuhusu mswada huu ndani ya siku 30 kuweka hatua rasmi kwa ajili ya kujitoa.
Mada ya majadiliano "kusimamisha muungano wowote, ushirikiano na msaada" kwa mahakama kuliidhinidhwa kwa kishindo na Bunge la Taifa kupitia kura ya maoni.
Hadi leo, nchi 122 ni sehemu ya Sheria ya Roma ambayo ilianzisha ICC, na kama Kenya itajitoa ICC itakuwa ni mwanachama wa kwanza wa mahakama hiyo kufanya hivyo.
Wakenya wakitembea nyuma ya jengo la bunge jijini Nairobi tarehe 5 Septemba, tarehe ambayo wabunge walikuwa na mjadala wa kujitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai [Simon Maina/AFP]
Wabunge wazungumza katika mjadala uliokuwa moto
Katika mjadala uliokuwa moto ambapo wabunge mara kwa mara waliomba kuwepo kwa taratibu wakati walipokuwa wakichangia mada na wakishangiliwa na wenzao, kiongozi wa wengi katika bunge Aden Duale alisema kujitoa kutoka ICC kungelinda katiba ya nchi na kuhifadhi taswira ya Kenya".

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...