Skip to main content

Wakenya wagawanyika kuhusu kura ya wabunge ya kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai


Julius Kithuure alichangia katika ripoti hii kutoka Nairobi
Wakenya wametoa sauti ya kuwa na maoni tofauti kufuatia kura iliyopigwa na watunga sheria Alhamisi (tarehe 5 Septemba) kurejesha mada ya kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataiifa ya Makosa ya Jinai (ICC).
Msimamizi wa mgahawa jijini Nairobi akiangalia matangazo ya habari za moja kwa moja tarehe 5 Septemba za majadiliano kuhusu kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. [Simon Maina/AFP]
Kura hiyo ya ishara tu haitakuwa na athari kwenye majaribio yanayokuja ya Makamu wa Rais William Ruto na Rais Uhuru Kenyatta, na bunge lazima lipige kura baadaye kuhusu mswada huu ndani ya siku 30 kuweka hatua rasmi kwa ajili ya kujitoa.
Mada ya majadiliano "kusimamisha muungano wowote, ushirikiano na msaada" kwa mahakama kuliidhinidhwa kwa kishindo na Bunge la Taifa kupitia kura ya maoni.
Hadi leo, nchi 122 ni sehemu ya Sheria ya Roma ambayo ilianzisha ICC, na kama Kenya itajitoa ICC itakuwa ni mwanachama wa kwanza wa mahakama hiyo kufanya hivyo.
Wakenya wakitembea nyuma ya jengo la bunge jijini Nairobi tarehe 5 Septemba, tarehe ambayo wabunge walikuwa na mjadala wa kujitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai [Simon Maina/AFP]
Wabunge wazungumza katika mjadala uliokuwa moto
Katika mjadala uliokuwa moto ambapo wabunge mara kwa mara waliomba kuwepo kwa taratibu wakati walipokuwa wakichangia mada na wakishangiliwa na wenzao, kiongozi wa wengi katika bunge Aden Duale alisema kujitoa kutoka ICC kungelinda katiba ya nchi na kuhifadhi taswira ya Kenya".

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...