Skip to main content

Wakenya wagawanyika kuhusu kura ya wabunge ya kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai


Julius Kithuure alichangia katika ripoti hii kutoka Nairobi
Wakenya wametoa sauti ya kuwa na maoni tofauti kufuatia kura iliyopigwa na watunga sheria Alhamisi (tarehe 5 Septemba) kurejesha mada ya kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataiifa ya Makosa ya Jinai (ICC).
Msimamizi wa mgahawa jijini Nairobi akiangalia matangazo ya habari za moja kwa moja tarehe 5 Septemba za majadiliano kuhusu kujiondoa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. [Simon Maina/AFP]
Kura hiyo ya ishara tu haitakuwa na athari kwenye majaribio yanayokuja ya Makamu wa Rais William Ruto na Rais Uhuru Kenyatta, na bunge lazima lipige kura baadaye kuhusu mswada huu ndani ya siku 30 kuweka hatua rasmi kwa ajili ya kujitoa.
Mada ya majadiliano "kusimamisha muungano wowote, ushirikiano na msaada" kwa mahakama kuliidhinidhwa kwa kishindo na Bunge la Taifa kupitia kura ya maoni.
Hadi leo, nchi 122 ni sehemu ya Sheria ya Roma ambayo ilianzisha ICC, na kama Kenya itajitoa ICC itakuwa ni mwanachama wa kwanza wa mahakama hiyo kufanya hivyo.
Wakenya wakitembea nyuma ya jengo la bunge jijini Nairobi tarehe 5 Septemba, tarehe ambayo wabunge walikuwa na mjadala wa kujitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai [Simon Maina/AFP]
Wabunge wazungumza katika mjadala uliokuwa moto
Katika mjadala uliokuwa moto ambapo wabunge mara kwa mara waliomba kuwepo kwa taratibu wakati walipokuwa wakichangia mada na wakishangiliwa na wenzao, kiongozi wa wengi katika bunge Aden Duale alisema kujitoa kutoka ICC kungelinda katiba ya nchi na kuhifadhi taswira ya Kenya".

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.