Skip to main content

Utulivu wenye wasiwasi warejea Moyale kufuatia mapigano ya kikabila yaliyosababisha mauaji


Na Bosire Boniface, Garissa
Utulivu wa kiasi umerejea baina ya jamii za Gabra na Borana kwenye mpaka wa Kenya na Ethiopia baada ya kuibuka kwa wasiwasi wa kisiasa uliovuma wiki iliyopita, ukisababisha watu wapatao 12 kupoteza maisha na zaidi ya 60,000 kukosa makazi.
Mwonekano wa Moyale, mji ulio mpakani ambao uko kando kando ya Kenya na Ethiopia, tarehe 22 Agosti, Vurugu baina ya makabila ya Gabra na Borana katika wiki za hivi karibuni ziliwaua watu wapatao 12 na zaidi ya 60,000 kukosa makazi. [Bosire Boniface/Sabahi]
Kuibuka kwa vurugu wa hivi karibuni kulianza tarehe 22 Agosti wakati watu watatu walipouawa huko Marsabit, na dereva wa lori kushambuliwa kwenye njia kubwa ya magari itokayo Nairobi kwenda Moyale. Siku mbili baadaye, watu wengine watatu waliuawa katika mapigano ya vita vidogo baina ya jamii za Borana huko Moyale.
Kati ya tarehe 29 na 30, watu sita zaidi waliuawa na zaidi ya watu 20,000 walikimbia katika mpaka huo kuingia Ethiopia, ambayo iko umbali wa chini ya kilometa moja kutoka mji wa Moyale, Mratibu wa Chama cha Msalaba Mwekundu cha Kenya Stephen Bunaya aliiambia Sabahi.
"Takribani watu wengine 40,000 wanapiga kambi ndani ya shule nchini Kenya," alisema. "Shule zimefungwa na wakati zitakapofungiuliwa familia hizo zitapaswa kuondoka."
Umbali kutoka Moyale nchini Kenya na Ethiopia ni chini ya kilometa moja. [Bosire Boniface/Sabahi]
Wakati wa vurugu, Bunaya alisema nyumba zaidi ya 50 yakiwemo majengo ya biashara yalichomwa moto.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...