Skip to main content

Obama kuomba idhini ya bunge kabla ya kuivamia kijeshi nchi ya Syria


Na Flora Martin Mwano
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajia kuomba idhini ya bunge la nchi hiyo ili aweze kufanikisha mkakati wa kuivamia kijeshi nchi ya Syria inayotuhumiwa kwa matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya raia wake.
In deciding to seek congressional approval first, President Obama has effectively delayed a possible military strike against Syria until after Congress reconvenes Sept. 9.
Rais wa Marekani, Barack Obama /MICHAEL REYNOLD/EPA

Kwa mujibu wa katiba ya nchi yake, Rais Obama anayo haki ya kuliagiza jeshi lake kuvamia Syria bila kuomba idhini ya bunge lakini jeshi hilo halitatakiwa kukaa vitani kwa zaidi ya siku 60 ikiwa bunge halikuidhinisha uvamizi.
Bunge la Congress linatarajiwa kupigia kura pendekezo hilo kabla ya tarehe 9 mwezi huu na Rais Obama sasa anasema kuna umuhimu wa kuwa na majadiliano kabla ya hatua za kijeshi kuchukuliwa.
Katika taarifa fupi iliyotolewa kwa waandishi wa habari mwishoni mwa juma hili kwenye ikulu ya White House, Obama amesema jeshi la Marekani lipo tayari kwa uvamizi ili kumuadabisha Bashar al-Assad kutokana na majeshi yake kutumia silaha za kemikali dhidi ya raia wa Syria.
Marekani inasema ina uthibitisho kuwa majeshi ya serikali ya Damascus yalitumia silaha hizo katika shambulizi la Agosti 21 pembezoni mwa mji wa Damascus ambapo watu zaidi ya 1,000 walidaiwa kufa.
Serikali ya Syria imekuwa ikikanusha tuhuma zinazoelekezwa kwake na kuwataja waasi kuwa ndio waliotumia silaha za kemikali.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...