Skip to main content

Obama kuomba idhini ya bunge kabla ya kuivamia kijeshi nchi ya Syria


Na Flora Martin Mwano
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajia kuomba idhini ya bunge la nchi hiyo ili aweze kufanikisha mkakati wa kuivamia kijeshi nchi ya Syria inayotuhumiwa kwa matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya raia wake.
In deciding to seek congressional approval first, President Obama has effectively delayed a possible military strike against Syria until after Congress reconvenes Sept. 9.
Rais wa Marekani, Barack Obama /MICHAEL REYNOLD/EPA

Kwa mujibu wa katiba ya nchi yake, Rais Obama anayo haki ya kuliagiza jeshi lake kuvamia Syria bila kuomba idhini ya bunge lakini jeshi hilo halitatakiwa kukaa vitani kwa zaidi ya siku 60 ikiwa bunge halikuidhinisha uvamizi.
Bunge la Congress linatarajiwa kupigia kura pendekezo hilo kabla ya tarehe 9 mwezi huu na Rais Obama sasa anasema kuna umuhimu wa kuwa na majadiliano kabla ya hatua za kijeshi kuchukuliwa.
Katika taarifa fupi iliyotolewa kwa waandishi wa habari mwishoni mwa juma hili kwenye ikulu ya White House, Obama amesema jeshi la Marekani lipo tayari kwa uvamizi ili kumuadabisha Bashar al-Assad kutokana na majeshi yake kutumia silaha za kemikali dhidi ya raia wa Syria.
Marekani inasema ina uthibitisho kuwa majeshi ya serikali ya Damascus yalitumia silaha hizo katika shambulizi la Agosti 21 pembezoni mwa mji wa Damascus ambapo watu zaidi ya 1,000 walidaiwa kufa.
Serikali ya Syria imekuwa ikikanusha tuhuma zinazoelekezwa kwake na kuwataja waasi kuwa ndio waliotumia silaha za kemikali.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.