Mtihani mpya wa Taifa utaanzishwa kwa
wanafunzi wa darasa la pili nchi nzima, ili kuchuja watakaoshindwa
kusoma, kuandika na kuhesabu.
Akifafanua uamuzi wa kuanzishwa
mtihani wa Taifa wa darasa la pili, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya
Ufundi, Philipo Mulugo alisema mtihani huo ni sehemu ya utekelezaji wa
mkakati wa matokeo makubwa sasa katika sekta ya elimu.
Comments