KITENDO cha Rwanda na Uganda kutangaza
kujitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia leo, kimeibua hisia na
maoni tofauti kutoka kwa wachambuzi mbalimbali, ambao sasa wameanza
kuhoji jambo hilo kwa namna ya kuangalia hali halisi, ukiachilia mbali
msuguano wa kidiplomasia unaojitokeza baina ya Tanzania na Rwanda.
Comments