Taasisi ya fursa ya Elimu (Opportunity
Education) ya nchini Marekani imeazimia kuanzisha mradi wa laptop ndogo
(tablets computer) kuanzia mwezi Januari mwaka 2014 nchini ambazo
zitatumika kufundishia ili walimu waweze kufundisha haraka na kwa
ufanisi zaidi pia wanafunzi watapata nafasi ya kujifunza zaidi.
Comments