Skip to main content

TUPIA MACHO NAMNA YA MIPASUO NDIYO MWENDO MDUNDO K WA SASA

Rachel Haule
Rachel Haule mwigizaji wa filamu
KATIKA shughuli mbalimbali wasanii upendeza sana katika uvaaji wa nguo zao na kuna wakati unaweza kusema kuwa wasanii wakike kama upanga kuwa leo tutoke vipi katika mtoko huo, hivi karibuni ni kiwa katika ukumbi wa Mlimani city niliona warembo kutoka Bongo movie wakiwa wamevaa nguo zenye mpasuo wenye muwashawasha na vipensi kwa jamu.

.
Rachel Haule.
Rachel akiwa katika pozi
Joketi Mwingilo
Joketi akiwa katika katika pozi la pensi.
Joketi Mwigilo
Kipensi cha Joketi katika mitoko
Elizabeth Michael
Hot Lulu akiwa katika gauni lake lenye mpasuko.
Jack Wolper
Wolper Gambe naye hayupo nyuma katika mipasuo.
.
Jack WolperRachel Haule
Elizabeth Michael
Lulu akiwa amepiga nguo yenye mpasuo upande wa kulia inapendeza
Pia kuna kitu nilikuona katika uzinduzi wa filamu ya Foolish age ni mipasuo mingi kuwa upande wa kushoto kama si kumuona mhusika wa shughuli hiyo madam Elizabeth Michael aka Hot Lulu nilipomuona akiwa na mpasuo upande wa kulia ndio nikajua kuwa kumbe mipasuo inaweza kuwekwa sehemu yoyote siyo upande mmoja tu.
FC bwana nao kwa upekupeku haya ndio maisha yetu kujua mastaa wetu wanapigaje pamba na kuonekana wakiwa smar t na kuendelea kuigwa kuvaa nayo shughuli!Pia kuna wale waliotokelezea kwa kutinga Pensi Lakini hawa mastaa wa Bongo movie hawakosei bwana haya ndio maisha yetu saaafiii Saaana!

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.