Skip to main content

Zantel Yafanya Makamuzi Jana

(Pichani ), mashabiki wa Timu ya Zantel ambao ni wafanya kazi wa Kampuni hiyo  jana , mashabiki hao walitia timu Viwanja vya Leaders jijini Dar es Slaam kuishangilia temu yaho ya Zantel ilipopambambana na timu ya Twanga Pepeta na kutoka Suluhu ya bao 3-3

Comments