(Pichani) kulia ni muimbaji mahiri wa bendi ya muziki wa dansi wa Twanga Pepeta wa pili ni mimi Machibya mwenye blog hii na kulia ni Ismail kulikuwa na mambo kibao yaliyokuwa yakichengua kinamna usiku wa jana sambamba na urtaratibu uliopo katika jiji la Dar es Salaam yale mambo ya kujiachia uku bata zikiendelea.
Comments