Mishel nyumbani kwao Fizo maeneo ya Magomeni juzi. Mwaka 2002 ndipo haswa makamuzi yake kwenye gemu yalionekana dhahiri , kwa sasa mchizi kaisha jua mambo kibao ya gemu na hivi karibuni ametua kutoka Uganda anasema mabadiliko ni lazima kwa msanii , wasanii Uganda wapo juu sana kimaisha sikia tu kwanini na hapa pasiwe kama kule !!! haya ni maongezi tulipo kuwa tukipiga nae story.
Comments