Skip to main content

FIZO AJA NA MAPYA

VICTOR Faiz Bhahaji (Fizo a.k.a Director) , akiwa amejiachia na mwana dada
Mishel  nyumbani kwao Fizo maeneo ya Magomeni juzi. Mwaka  2002 ndipo haswa makamuzi yake kwenye gemu yalionekana dhahiri , kwa sasa mchizi kaisha jua mambo kibao ya gemu na hivi karibuni ametua kutoka Uganda anasema mabadiliko  ni lazima kwa msanii , wasanii Uganda wapo juu sana kimaisha sikia tu kwanini na hapa pasiwe kama kule !!! haya ni maongezi tulipo kuwa tukipiga nae story.

Comments