Skip to main content

Bendi ya Twanga Pepeta Ikiwa Mzigoni Jana Usiku Club Billicanas



Katikati ni mwana muziki nguli wa bendi hiyo
Khalid Chokola.
Ilifanya makamuizi makubwa sana ni bendi inayowajibika vilivyo ukukila mmoja wa wanamuziki hao akimudu vema kuyatekeleza majukumu yake

Comments