MSANII wa muziki wa bongo Flava Zawadi Nalinga 'Mr Zawadi 'mwenye maskani yake Mtwala kwa sasa Yupo jijini Dar natayari ameanza kukamata kasi kati anga za muziki huo, singo anayo aliyo sambaza imeaza kubamba chati za mziki ikiitwa Miss' ni moja ya kazi ya kweli na tayari kipindi cha redio Times FM kiitwacho Bongo Dot Home uku Dj Juice akifanya makamuzi ya kufa mtu kupitia mawimbi hayo , ebwana si kikuku singo linataambaa kiasi kwamba .
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments