sasa ni tishio kwa kumbi zote za stahe Dar es Slaam.
Kazi ilikuwa shwali usiku wa jana , kama unavyoona hali ya mambo huo ni mduara babake , poteza bovuuuuu .
Huyo chni ni mwanadada akinengua kwa kasi ya ajabu ukumwingine amekalia makalio yake kwa kidume wameketi kiti kimoja na mduara unaendelea kuzunguka.
Comments