Skip to main content

Yanga kukipiga na African Lyon Jumapili


KAIMU Katibu Mkuu wa Yanga Omar Kaaya amesema kuwa kwa sasa timu inaendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi za ligi kuu Tanzania bara kulingana na proramu za mwalimu na huu ni mwendelezo wa ushindi baada ya kuanza kwa Mtibwa.
DSC_4235
Kaaya amesema timu imemaliza mechi za kimataifa na wachezaji wakapewa mapumziko tayari wameshaanza mazoezi ikiwa  chini ya Kocha Noel Mwandila kuangalia mapungufu yaliyojitokeza kwenye mechi zilizopita ikiwemo kucheza mchezo mwinG\gine wa kirafiki hapa Jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa  baada ya kushindwa kwenda kucheza mchezo wao kirafiki dhidi ya Singida United uliotakiwa kufanyika Mkoani Kigoma hiyo inatokana na ratiba ya ligi kubadilika na awali walitakiwa wacheze na Mwadui Mkoani Shinyanga.

Amesema kuwa, kwa sasa watacheza mechi ya kirafiki siku ya Jumapili dhidi ya African Lyon ili kuiangalia timu kabla ya kuendelea na ligi kwenye mchezo wao ujao watakaocheza na Stand United katika Uwanja wa Taifa.

Kaaya amewaomba mashabiki wa kanda ya Ziwa kuwa na subira na timu yao kutokana na kushindwa kwenda kucheza ila watakapopata muda wakati nwingine.

Kwa upande wa Meneja wa timu ya Yanga Nadir Haroub ' Canavaro' amesema kuwa kwa sasa hali ya wachezaji ni nzuri wanaendelea na mazoezi kwa wale ambao hawakuitwa katika timu ya taifa wakiwa wanania ya kuuchukua ubingwa wa mwaka huu baada ya kuupoteza msimu uliopita.

Canavaro amesema amekuwa anakaa na wachezaji wake akiwa anawamasihsha kujena umoja ndani ya timu kwa ajili ya kuuchukua ubingwa wa mwaka huu pamoja na hamasa ingawa kumekuwa na changamoto mbalimbali ndani ya timu.

" wachezaji wamekuwa na umoja na wakicheza kwa kujituma, wameweka matatizo ya klabu pembeni kwani hizo ni changamoto ila watahakikisha wanafanya vizuri kwenye michezo ya ligi kuu inayofuata,'amesema Canavaro.

Kwa sasa Yanga wanajiandaa mchezo wao ujao dhidi ya Stand United ambapo kwa sasa Yana wamecheza mchezo mmoja na Mtibwa kufanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.