Skip to main content

Yanga kukipiga na African Lyon Jumapili


KAIMU Katibu Mkuu wa Yanga Omar Kaaya amesema kuwa kwa sasa timu inaendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi za ligi kuu Tanzania bara kulingana na proramu za mwalimu na huu ni mwendelezo wa ushindi baada ya kuanza kwa Mtibwa.
DSC_4235
Kaaya amesema timu imemaliza mechi za kimataifa na wachezaji wakapewa mapumziko tayari wameshaanza mazoezi ikiwa  chini ya Kocha Noel Mwandila kuangalia mapungufu yaliyojitokeza kwenye mechi zilizopita ikiwemo kucheza mchezo mwinG\gine wa kirafiki hapa Jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa  baada ya kushindwa kwenda kucheza mchezo wao kirafiki dhidi ya Singida United uliotakiwa kufanyika Mkoani Kigoma hiyo inatokana na ratiba ya ligi kubadilika na awali walitakiwa wacheze na Mwadui Mkoani Shinyanga.

Amesema kuwa, kwa sasa watacheza mechi ya kirafiki siku ya Jumapili dhidi ya African Lyon ili kuiangalia timu kabla ya kuendelea na ligi kwenye mchezo wao ujao watakaocheza na Stand United katika Uwanja wa Taifa.

Kaaya amewaomba mashabiki wa kanda ya Ziwa kuwa na subira na timu yao kutokana na kushindwa kwenda kucheza ila watakapopata muda wakati nwingine.

Kwa upande wa Meneja wa timu ya Yanga Nadir Haroub ' Canavaro' amesema kuwa kwa sasa hali ya wachezaji ni nzuri wanaendelea na mazoezi kwa wale ambao hawakuitwa katika timu ya taifa wakiwa wanania ya kuuchukua ubingwa wa mwaka huu baada ya kuupoteza msimu uliopita.

Canavaro amesema amekuwa anakaa na wachezaji wake akiwa anawamasihsha kujena umoja ndani ya timu kwa ajili ya kuuchukua ubingwa wa mwaka huu pamoja na hamasa ingawa kumekuwa na changamoto mbalimbali ndani ya timu.

" wachezaji wamekuwa na umoja na wakicheza kwa kujituma, wameweka matatizo ya klabu pembeni kwani hizo ni changamoto ila watahakikisha wanafanya vizuri kwenye michezo ya ligi kuu inayofuata,'amesema Canavaro.

Kwa sasa Yanga wanajiandaa mchezo wao ujao dhidi ya Stand United ambapo kwa sasa Yana wamecheza mchezo mmoja na Mtibwa kufanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...