Skip to main content

Metropolitan yawapatia ufadhiri wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya bima Chuo cha IFM

Kampuni ya Bima ya Metropolitan imewapatia ufadhiri wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya bima na udhibiti wa majanga katika Chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) kwakuwalipia ada wanafunzi watatu wa mwaka watatu wanaosoma shahada ya kwanza ya bima na udhibiti wa majanga.
Makamu Mkuu wa Chuo cha IFM Dk. Emanuel Mzava aliwataja wanafunzi hao kuwa ni Rhoda Carol, Leonard Mahimbo, na Paschalina Msofe wote wakiwa mwaka watatu.

Akizungumza katika hafla ndogo ya kuwakabidhi wanafunzi hundi ya shilingi milioni 4,500,000 iliyofanyika chuoni hapo Dk. Mzava alisema kuwa Wakala wa Bima nchini (TIBA) wamekua wakiwatafuta wadau kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wanaosoma masomo ya bima na masomo mengine.

“Tunao mkataba wa kudumu na TIBA ambapo huwasaidia wanafunzi wetu kuwaunganisha na makampuni ya bima kwakupatiwa mafunzo kwa vitendo, kupatiwa kazi pamoja na ufadhiri wa kitaaluma,”amesema.

Dk Mzava aliongeza kuwa hata ufahiri uliotolewa jana na kampuni ya Metropolitani ni matunda ya mahusiano mazuri na TIBA, IFM na Metropolitan wana mkataba wa mda mrefu wakuwasaidia wanafunzi ambapo baadhi wamenufaika na mpango huo.

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Metropolitan Suresh Kumar, alisema tokea kuanzishwa kwa ushirikiano baina yao na IFM wanafunzi 11 wamenufaika na mpango huo na kuongeza kuwa baadhi ya wahitimu wa bima chuoni hapo wameunganishwa na makampuni ya bima.

“Hatuishii kudhamini tu,vilevile tunaajili,na tunawaunganisha na makampuni rafiki ya bima nchini lakini hatuwazuii kufanya kazi katika sekta mbalimbali, wapo wanaofanya katika sekta za fedha yakiwemo mabenki,”amesema.

Kumar aliwasisitiza wanufaika wa ufadhiri huo kusoma kwa bidii nakufanya vyema kwenye masomo yao hususani katika kipindi cha mwaka wa mwisho kwakuwa soko la ajira hulenga zaidi waliofanya vizuri katika masomo.

Rhoda Caroli akizungumza kwa niaba ya wanafunzi walionufaika na ufadhiri huo, aliuhakikisha uongozi wa IFM,TIBA na Metropolitani kuwa watasoma kwa bidii na hawata waangusha kitaaluma.

“Kwa niaba ya wenzangu ,tunashukuru kwa ufadhiri huu tunaahidi kuutendea haki na hatuta waangusha tutasoma kwa bidii ili kutimiza malengo yetu ili tuweze kutoa mchango katika sekta ya bima na nchi yetu,”amesema

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...