Skip to main content

Metropolitan yawapatia ufadhiri wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya bima Chuo cha IFM

Kampuni ya Bima ya Metropolitan imewapatia ufadhiri wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya bima na udhibiti wa majanga katika Chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) kwakuwalipia ada wanafunzi watatu wa mwaka watatu wanaosoma shahada ya kwanza ya bima na udhibiti wa majanga.
Makamu Mkuu wa Chuo cha IFM Dk. Emanuel Mzava aliwataja wanafunzi hao kuwa ni Rhoda Carol, Leonard Mahimbo, na Paschalina Msofe wote wakiwa mwaka watatu.

Akizungumza katika hafla ndogo ya kuwakabidhi wanafunzi hundi ya shilingi milioni 4,500,000 iliyofanyika chuoni hapo Dk. Mzava alisema kuwa Wakala wa Bima nchini (TIBA) wamekua wakiwatafuta wadau kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wanaosoma masomo ya bima na masomo mengine.

“Tunao mkataba wa kudumu na TIBA ambapo huwasaidia wanafunzi wetu kuwaunganisha na makampuni ya bima kwakupatiwa mafunzo kwa vitendo, kupatiwa kazi pamoja na ufadhiri wa kitaaluma,”amesema.

Dk Mzava aliongeza kuwa hata ufahiri uliotolewa jana na kampuni ya Metropolitani ni matunda ya mahusiano mazuri na TIBA, IFM na Metropolitan wana mkataba wa mda mrefu wakuwasaidia wanafunzi ambapo baadhi wamenufaika na mpango huo.

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Metropolitan Suresh Kumar, alisema tokea kuanzishwa kwa ushirikiano baina yao na IFM wanafunzi 11 wamenufaika na mpango huo na kuongeza kuwa baadhi ya wahitimu wa bima chuoni hapo wameunganishwa na makampuni ya bima.

“Hatuishii kudhamini tu,vilevile tunaajili,na tunawaunganisha na makampuni rafiki ya bima nchini lakini hatuwazuii kufanya kazi katika sekta mbalimbali, wapo wanaofanya katika sekta za fedha yakiwemo mabenki,”amesema.

Kumar aliwasisitiza wanufaika wa ufadhiri huo kusoma kwa bidii nakufanya vyema kwenye masomo yao hususani katika kipindi cha mwaka wa mwisho kwakuwa soko la ajira hulenga zaidi waliofanya vizuri katika masomo.

Rhoda Caroli akizungumza kwa niaba ya wanafunzi walionufaika na ufadhiri huo, aliuhakikisha uongozi wa IFM,TIBA na Metropolitani kuwa watasoma kwa bidii na hawata waangusha kitaaluma.

“Kwa niaba ya wenzangu ,tunashukuru kwa ufadhiri huu tunaahidi kuutendea haki na hatuta waangusha tutasoma kwa bidii ili kutimiza malengo yetu ili tuweze kutoa mchango katika sekta ya bima na nchi yetu,”amesema

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.