Skip to main content

China yafungua milango ya biashara ya mazao ya kilimo nchini

CHINA imefungua milango ya biashara ya mazao ya kilimo, ambapo Tanzania 
imeombwa kupeleka bidhaa za kilimo zilizoongezwa thamani.
Image result for Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE)
Pichani Mkurugenzi Mkuu wa 
Mamlaka ya Biashara ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE)Edwin Rutagenika .

Katika hali hiyo zinahitajika tani 200,000 za mbaazi zilizokobolewa na zisizoko
bolewa natena wakati huo, zikihitajika tani 138,000 za tangawizi zilizoongezwa thamani.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati Mkurugenzi Mkuu wa 
Mamlaka ya Biashara ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE)Edwin Rutagenika 
alipo rejea kutoka nchini China.

“Nilikuwa nchini China hivi karibuni,China imeridhishwa na bidhaa za kilimo 
ambapo zinahitajika tani nyingi za mazao mbalimbali ya kilimo,”Alisema
Bidhaa za kilimo zilizooledheshwa ni pamoja na korosho,mbaazi,kahawa, 
tangawizi, mhogo, choroko na kunde.

Rutagenika alisema kuwa wana jukumu la kukuhakikisha bidhaa na mazao yanayozalishwa
Tanzania yanapata soko ndani ya nchi na nje ya nchi, lakini alisistiza watanzania 
kuzalisha bidhaa zenye ubora na zinazokidhi ushindani wa soko.

“Tuitumie hii fursa kwakuzalisha bidhaa zenye ubora na zilizoongezwa thamani na 
zilizo fungashwa vizuri, wenzetu wa China wameonesha utayari wakununua bidhaa 
zetu hatunabudi kuzalisha bidhaa zenye ubora ,”amesema Rutagenika.

Hata hivyo Mkurugenzi huyo wa TANTRADE alisema kuwa atawafikishia ujumbe maofisa 
kilimo,maofisa ushirika, maofisa biashara,wakurugenzi wa halmashauri,makatibu 
tawala wa mikoa,wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa kuhimiza uzalishaji
Uhuru liliongea na  Ofisa kilimo kata ya Mpitimbi halmashauri ya Songea 
vijijini David Chiza ili kujua amezipokeaje taarifa hizo,kwa upande wake 
alisema kuwa ni taarifa njema na yupo tayari kuwahimiza wananchi kuweka mkazo
 katika mazao yaliyotajwa hususani mbaazi.

“Kazi yetu nikutoa ushauri elekezi kwa wakulima na wanajitahidi lakini soko 
limekuwa kizungumkuti, kuwe na mikataba baina ya wanunuzi na nchi washirika 
ambao tutauzia nchi husika mana India ili tuangusha kwenye mbaazi lakini 
masoko ya ndani ya imarishwe pia,”Amesema

Naye Subira mpwapwa mkulima wa korosho kutoka kijiji cha matemanga wilayani 
Tunduru alisema taarifa hizo zinaleta matumaini lakini ameiomba serikali 
kufuatilia kwa umakini kama walivyofanya katika msimu wa ununuzi wa korosho 
mwaka jana.

“Wajanja wamekuwa wengi wana mbinu lukuki kila iitwapo leo,serikali isituache 
peke yetu imetutafutia soko tutajitahidi kuzalisha kwa wingi lakini ombi langu 
maofisa ugani wawe wanatutembelea marakwamara ili kuzibaini changamoto zetu 
siyo hadi tuwafuate,”Amesema

Vilele TANTRADE imetoa wito wakuunganishwa kwa wafanyabiashara kuwa kitu kimoja ili 
kulishinda soko hilo na wakati ukifika waende kama timu kuliko kila mtu kujiendea 
kivyake na maofisa biashara kutoa ushauri wa kibiashara.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...