Skip to main content

China yafungua milango ya biashara ya mazao ya kilimo nchini

CHINA imefungua milango ya biashara ya mazao ya kilimo, ambapo Tanzania 
imeombwa kupeleka bidhaa za kilimo zilizoongezwa thamani.
Image result for Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE)
Pichani Mkurugenzi Mkuu wa 
Mamlaka ya Biashara ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE)Edwin Rutagenika .

Katika hali hiyo zinahitajika tani 200,000 za mbaazi zilizokobolewa na zisizoko
bolewa natena wakati huo, zikihitajika tani 138,000 za tangawizi zilizoongezwa thamani.

Hayo yamesemwa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati Mkurugenzi Mkuu wa 
Mamlaka ya Biashara ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE)Edwin Rutagenika 
alipo rejea kutoka nchini China.

“Nilikuwa nchini China hivi karibuni,China imeridhishwa na bidhaa za kilimo 
ambapo zinahitajika tani nyingi za mazao mbalimbali ya kilimo,”Alisema
Bidhaa za kilimo zilizooledheshwa ni pamoja na korosho,mbaazi,kahawa, 
tangawizi, mhogo, choroko na kunde.

Rutagenika alisema kuwa wana jukumu la kukuhakikisha bidhaa na mazao yanayozalishwa
Tanzania yanapata soko ndani ya nchi na nje ya nchi, lakini alisistiza watanzania 
kuzalisha bidhaa zenye ubora na zinazokidhi ushindani wa soko.

“Tuitumie hii fursa kwakuzalisha bidhaa zenye ubora na zilizoongezwa thamani na 
zilizo fungashwa vizuri, wenzetu wa China wameonesha utayari wakununua bidhaa 
zetu hatunabudi kuzalisha bidhaa zenye ubora ,”amesema Rutagenika.

Hata hivyo Mkurugenzi huyo wa TANTRADE alisema kuwa atawafikishia ujumbe maofisa 
kilimo,maofisa ushirika, maofisa biashara,wakurugenzi wa halmashauri,makatibu 
tawala wa mikoa,wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa kuhimiza uzalishaji
Uhuru liliongea na  Ofisa kilimo kata ya Mpitimbi halmashauri ya Songea 
vijijini David Chiza ili kujua amezipokeaje taarifa hizo,kwa upande wake 
alisema kuwa ni taarifa njema na yupo tayari kuwahimiza wananchi kuweka mkazo
 katika mazao yaliyotajwa hususani mbaazi.

“Kazi yetu nikutoa ushauri elekezi kwa wakulima na wanajitahidi lakini soko 
limekuwa kizungumkuti, kuwe na mikataba baina ya wanunuzi na nchi washirika 
ambao tutauzia nchi husika mana India ili tuangusha kwenye mbaazi lakini 
masoko ya ndani ya imarishwe pia,”Amesema

Naye Subira mpwapwa mkulima wa korosho kutoka kijiji cha matemanga wilayani 
Tunduru alisema taarifa hizo zinaleta matumaini lakini ameiomba serikali 
kufuatilia kwa umakini kama walivyofanya katika msimu wa ununuzi wa korosho 
mwaka jana.

“Wajanja wamekuwa wengi wana mbinu lukuki kila iitwapo leo,serikali isituache 
peke yetu imetutafutia soko tutajitahidi kuzalisha kwa wingi lakini ombi langu 
maofisa ugani wawe wanatutembelea marakwamara ili kuzibaini changamoto zetu 
siyo hadi tuwafuate,”Amesema

Vilele TANTRADE imetoa wito wakuunganishwa kwa wafanyabiashara kuwa kitu kimoja ili 
kulishinda soko hilo na wakati ukifika waende kama timu kuliko kila mtu kujiendea 
kivyake na maofisa biashara kutoa ushauri wa kibiashara.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.