Skip to main content

Vodacom Kuendelea kuchangia maendeleo ya elimu nchini


KAMPUNI ya simu za mkononi VODACOM Tanzania, imesema itaendelea kuchangia maendeleo ya elimu nchini, kama sehemu yakurudisha , faida kutoka kwa wateja wake ,sanjari nakushiriki katika miradi mbalimbali ya maendeleo hususani elimu.


Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa VODACOM Tanzania, Perece Kirigiti wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wahitimu wa kozi ijulikanayo kwa jina la “Discover Program ,” iliyofanyika katika hoteli ya Seaclif Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa VODACOM Tanzania Perece, alisema kampuni yao iliamua kuanzisha programu yakuwaendeleza wahitimu kutoka vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo kitaaluma katika eneo la uongozi.

Lengo la programu hiyo nikuwapa uwezo wakuwa viongozi bora na mahiri katika masuala ya uongozi mahali pakazi ili wawe na soko kubwa katika ulimwengu wa ajira na kuwawezesha kuajiriwa katika makampuni na mashirika mbalimbali nchini.

“Tulianzisha programu hii 2015 tukizunguka katika vyuo mbalimbali nchini nakuchukuwa baadhi ya wanafunzi ambao wamefanya vizuri katika masomo yao hususani wa shahada ya kwanza natunawajengea uwezo katika kampuni yetu baadae huajiriwa ndani ya kampuni au katika makampuni mengine,”Alisema

Perece alisema wahitimu wanaopata nafasi ya kujifunza programu hiyo  wanachukuliwa sawa na watumishi wa VODACOM na wanapaswa kuishi kwakufuata sera,utaratibu na utamaduni wa VODACOM hakuna anaye baguliwa kwa rangi,imani au kabila.

Gervas Mfumbusa alisema alipokuwa akijifunza kwa vitendo katika kampuni hiyo alijitahidi kuwa mpole na kujifunza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyofanya kazi nakujifunza mazingira ya kazi na baada ya miaka yake miwili amejikuta akipandishwa daraja nakuajiriwa katika kitengo cha rasilimali watu VODACOM.

“Unapohitaji mafanikio huna budi kuwa mtulivu ili uweze kufanikiwa katika kile unacho kihitaji ndivyo nilivyofanya na nilikuwa nimejiwekea malengo ,kampuni inahitaji faida basi mimi ntahakikisha mauzo ya kampuni yanaongezeka na kampuni inapata faida,”Alisema

Keisha Mushi mmoja wa wahitimu hao alisema kuwa suala halikuwa kupata kazi au kufanya kazi kwa bidii, suala la msingi kwake lilikuwa kujifunza kutoka kwa wakuu wa idara na alijifunza mengi kutoka kwa viongozi wake na hatimaye alihitimu nakuwa mfanyazi bora.

“Nimejifunza mengi VODACOM kuliko nilivyo kuja hadi kufikia ngazi na mimi kuwa mkufunzi kwa wengine,ushauri wangu ,ukitaka kufanikiwa kuwa mtiifu,jifunze kukubali kuwa huwezi ili uweze,”Alisema

Jumla ya wahitimu kumi wamehitimu katika kozi hiyo ya uongozi iliyozinduliwa 2015 ambapo wahitimu walijifunza kwa takribani miaka miwili ambapo wameiva katika masuala ya uongozi mahala pakazi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.