Skip to main content

Vodacom Kuendelea kuchangia maendeleo ya elimu nchini


KAMPUNI ya simu za mkononi VODACOM Tanzania, imesema itaendelea kuchangia maendeleo ya elimu nchini, kama sehemu yakurudisha , faida kutoka kwa wateja wake ,sanjari nakushiriki katika miradi mbalimbali ya maendeleo hususani elimu.


Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa VODACOM Tanzania, Perece Kirigiti wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wahitimu wa kozi ijulikanayo kwa jina la “Discover Program ,” iliyofanyika katika hoteli ya Seaclif Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa VODACOM Tanzania Perece, alisema kampuni yao iliamua kuanzisha programu yakuwaendeleza wahitimu kutoka vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo kitaaluma katika eneo la uongozi.

Lengo la programu hiyo nikuwapa uwezo wakuwa viongozi bora na mahiri katika masuala ya uongozi mahali pakazi ili wawe na soko kubwa katika ulimwengu wa ajira na kuwawezesha kuajiriwa katika makampuni na mashirika mbalimbali nchini.

“Tulianzisha programu hii 2015 tukizunguka katika vyuo mbalimbali nchini nakuchukuwa baadhi ya wanafunzi ambao wamefanya vizuri katika masomo yao hususani wa shahada ya kwanza natunawajengea uwezo katika kampuni yetu baadae huajiriwa ndani ya kampuni au katika makampuni mengine,”Alisema

Perece alisema wahitimu wanaopata nafasi ya kujifunza programu hiyo  wanachukuliwa sawa na watumishi wa VODACOM na wanapaswa kuishi kwakufuata sera,utaratibu na utamaduni wa VODACOM hakuna anaye baguliwa kwa rangi,imani au kabila.

Gervas Mfumbusa alisema alipokuwa akijifunza kwa vitendo katika kampuni hiyo alijitahidi kuwa mpole na kujifunza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyofanya kazi nakujifunza mazingira ya kazi na baada ya miaka yake miwili amejikuta akipandishwa daraja nakuajiriwa katika kitengo cha rasilimali watu VODACOM.

“Unapohitaji mafanikio huna budi kuwa mtulivu ili uweze kufanikiwa katika kile unacho kihitaji ndivyo nilivyofanya na nilikuwa nimejiwekea malengo ,kampuni inahitaji faida basi mimi ntahakikisha mauzo ya kampuni yanaongezeka na kampuni inapata faida,”Alisema

Keisha Mushi mmoja wa wahitimu hao alisema kuwa suala halikuwa kupata kazi au kufanya kazi kwa bidii, suala la msingi kwake lilikuwa kujifunza kutoka kwa wakuu wa idara na alijifunza mengi kutoka kwa viongozi wake na hatimaye alihitimu nakuwa mfanyazi bora.

“Nimejifunza mengi VODACOM kuliko nilivyo kuja hadi kufikia ngazi na mimi kuwa mkufunzi kwa wengine,ushauri wangu ,ukitaka kufanikiwa kuwa mtiifu,jifunze kukubali kuwa huwezi ili uweze,”Alisema

Jumla ya wahitimu kumi wamehitimu katika kozi hiyo ya uongozi iliyozinduliwa 2015 ambapo wahitimu walijifunza kwa takribani miaka miwili ambapo wameiva katika masuala ya uongozi mahala pakazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...