Skip to main content

Vodacom Kuendelea kuchangia maendeleo ya elimu nchini


KAMPUNI ya simu za mkononi VODACOM Tanzania, imesema itaendelea kuchangia maendeleo ya elimu nchini, kama sehemu yakurudisha , faida kutoka kwa wateja wake ,sanjari nakushiriki katika miradi mbalimbali ya maendeleo hususani elimu.


Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa VODACOM Tanzania, Perece Kirigiti wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wahitimu wa kozi ijulikanayo kwa jina la “Discover Program ,” iliyofanyika katika hoteli ya Seaclif Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa VODACOM Tanzania Perece, alisema kampuni yao iliamua kuanzisha programu yakuwaendeleza wahitimu kutoka vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo kitaaluma katika eneo la uongozi.

Lengo la programu hiyo nikuwapa uwezo wakuwa viongozi bora na mahiri katika masuala ya uongozi mahali pakazi ili wawe na soko kubwa katika ulimwengu wa ajira na kuwawezesha kuajiriwa katika makampuni na mashirika mbalimbali nchini.

“Tulianzisha programu hii 2015 tukizunguka katika vyuo mbalimbali nchini nakuchukuwa baadhi ya wanafunzi ambao wamefanya vizuri katika masomo yao hususani wa shahada ya kwanza natunawajengea uwezo katika kampuni yetu baadae huajiriwa ndani ya kampuni au katika makampuni mengine,”Alisema

Perece alisema wahitimu wanaopata nafasi ya kujifunza programu hiyo  wanachukuliwa sawa na watumishi wa VODACOM na wanapaswa kuishi kwakufuata sera,utaratibu na utamaduni wa VODACOM hakuna anaye baguliwa kwa rangi,imani au kabila.

Gervas Mfumbusa alisema alipokuwa akijifunza kwa vitendo katika kampuni hiyo alijitahidi kuwa mpole na kujifunza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyofanya kazi nakujifunza mazingira ya kazi na baada ya miaka yake miwili amejikuta akipandishwa daraja nakuajiriwa katika kitengo cha rasilimali watu VODACOM.

“Unapohitaji mafanikio huna budi kuwa mtulivu ili uweze kufanikiwa katika kile unacho kihitaji ndivyo nilivyofanya na nilikuwa nimejiwekea malengo ,kampuni inahitaji faida basi mimi ntahakikisha mauzo ya kampuni yanaongezeka na kampuni inapata faida,”Alisema

Keisha Mushi mmoja wa wahitimu hao alisema kuwa suala halikuwa kupata kazi au kufanya kazi kwa bidii, suala la msingi kwake lilikuwa kujifunza kutoka kwa wakuu wa idara na alijifunza mengi kutoka kwa viongozi wake na hatimaye alihitimu nakuwa mfanyazi bora.

“Nimejifunza mengi VODACOM kuliko nilivyo kuja hadi kufikia ngazi na mimi kuwa mkufunzi kwa wengine,ushauri wangu ,ukitaka kufanikiwa kuwa mtiifu,jifunze kukubali kuwa huwezi ili uweze,”Alisema

Jumla ya wahitimu kumi wamehitimu katika kozi hiyo ya uongozi iliyozinduliwa 2015 ambapo wahitimu walijifunza kwa takribani miaka miwili ambapo wameiva katika masuala ya uongozi mahala pakazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...