Skip to main content

Anthony Joshua kupanda ulingoni tena

 
Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo
Mwanamasumbwi huyo amesema King Joshua ambaye anatarajia kushuka ulingoni hapo kesho siku ya Jumamosi kutetea mkanda wake dhidi ya Alexander Povetkin kwenye uwanja wa Wembley ulimwengu mzima ungemfahamu kama angezipiga Mmarekani na kuachana na tamaduni za kupigana mapambano yake England.
Bondia wa England, Anthony Joshua
“Ndiyo, kama unahitaji kuwa nyota wa ulimwengu mzima ni lazima uwende ukapigane Marekani, ndoto zangu ilikuwa kupigana Las Vegas, Madison Square Garden maeneo ambayo Muhammad Ali na Mike Tyson wamepata kupigana,” amesema Khan.
Khan ameongeza “Kivyovyote vile litakavyo onekana Marekani basi huonekana dunia nzima, nilianza kuwa na jina kubwa baada ya kupambana Marekani.”
“Watu wa Pakistan walianza kunifahamu, wakati nilipo pigana pambano langu la kwanza England hakuna aliyenijua Pakistan lakini wao na India walianza kunifahamu baada ya pambano langu kufanyika Marekani ukweli ni kuwa ukipambana Marekani hukufanya wewe kuwa maarufu ulimwenguni.”
Bondia huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye anatarajia kupambana na mkongwe, Manny Pacquiao Desemba 8 mwaka huu anaimani kuwa Joshua angetengeneza mkwanja mrefu zaidi kama pambano lake lingefanyika nchini Marekani.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...