Skip to main content

Tanznaia yazikaribisha Asia na nchi za Afrika kuja kuwekeza nchini



TANZANIA imezikaribisha nchi za Bara la Asia na nchi za Afrika kuja kuwekeza nchini kutokana na rasilimali nyingi zilizopo nchini.
Hayo yalisemwa jana na Balozi Hassan Yahya, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa mahusiano kati ya Afrika na Asia, uliofanyika jijini Dar es Salaam ambapo wataalamu kutoka nchi za bara la Asia na Afrika wemeshiriki.
Tokeo la picha la ukumbi wa nkurma chuo kikuu
Ukumbi wa NkrumahChuo Kikuu cha Dar es Salaam
“Tunazo fursa nyingi za uwekezaji hapa nchini,tumieni fursa za mkutano huu kubaini maeneo ya uwekezaji,nchi yetu ina mazingira mazuri ya uwekezaji lakini utengamano na utulivu wakisiasa ni kichocheo cha uwekezaji nchini ,”Amesema
Balozi Yahya, aliuambia ujumbe wa wawashiriki wa mkutano huo kutoka mataifa mbalimbali duniani kuwa miongoni mwa maeneo watakayo wekeza ni katika,  madini, elimu, afya, kilimo,utalii,biashara na uchumi na sekta ya mawasiliano na uchukuzi.
Hata hivyo Balozi Yahya aliwataka washiriki hao kuwakaribisha watanzania kuwekeza katika nchi za Asia kutokana na kuwa na rasilimali nyingi ambazo nchi za Afrika zinaweza kuwekeza katika bara hilo.
“Naamini mkutano huu utatoa mwanga nakuanzisha ukurasa mpya kwa Afrika dhidi ya Asia ambako kuna fursa nyingi za uwekezaji ili Afrika iwekeze huko.,”Amesema
Kwaa upande wake Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa William Anangisye, alisema mkutano huo umekuja wakati muafaka ambapo kuna majadala unaendelea kuhusu ajenda ya mahusiano ya kiuchumi kati ya Asia na Afrika.
“Ninaamini kongamano hili litatoa wigo mpana katika ajenda ya mahusiano ya uchumi baina ya mabara hayo mawili ili kuweza kushirikiana katika fursa zinazopatikana katika mabara hayo,”Alisema
Profesa mstaafu wa magonjwa yasiyokuwa yakuambukizwa wa Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili Zulfiqarali Premj, amesema mkutano huo ni muhimu na anaamini Afrika na Asia zitanufaika na rasilimali zinazopatikana katika mabara hayo.
“Sisi tunataka matunda ya mahusiano yetu yawafikie wananchi wa kawaida na siyo tabaka la juu tu,tupo hapa kujadili maslahi mapana ya uhusiano wa kiuchumi kwa mataifa yaliyopo katika mabara hayo lakini ni jinsi gani wananchi watanufaika.
Mkutano huo wa siku tatu umehudhuriwa na washiriki zaidi ya mia nne kutoka nchi mbalimbali duniani na kuendeshwa na jopo la wataalamu wasomi 100 wabobevu katika masuala ya uchumi na diplomasia.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.