Skip to main content

TCCIA yakutana na ujumbe wa wawekezaji 20 wakubwa kutoka nchini Taiwan


CHAMA Cha waganyabiashara wenye Viwanda,Kilimo nchini (TCCIA)
kimesema kuwa ujio wa wawekezaji 20 kutoka nchini Taiwan wataweza kusababisha
nia ya wenye makamuni lengo la kufikia uchumi wa kati.
Pichani Mkuu wa Msafara wa wawekezaji 20 toka Taiwan Eduardo Wang kushoto akimpatia
Kaimu Rais wa chama Cha wafanyabiashara wenye Viwanda, Kilimu (Tccia) Octavian
Mshiu nembo ya “dragon” ambayo ni heshima ya juu yenye kuwakilisha Nguvu, Afya
na Bahati Kadiri ya Mila na Desturi ya sehemu kubwa ya Mashariki ya Asia ikiwa 
ni ishara ya Shukrani kwa TCCIA kwa kuratibu vizuri.Picha na mpiga picha wetu.

Wawekezaji wa Tamzania wamepata fursa pekee ya kukutana na wawekezaji 
hao huku lengo la wawekezaji hao likiwa na nia ya kushirikiana wawekezaji
wa ndani katika kuelekea uchumi wa viwanda.

Akizungumza Dar es Salaam Kaimu Rais wa Chama Cha TCCIA Octavian Mshiu amesema
kuwa katika ujio huo wawekezaji wa Taiwan ndio waliokuwa wa kwanza kutaka
kufanya maongezi hayo ya kibiashara na wawekezaji wa Tanzania.

"Tumefurahi sana kwa msafara wa wekezaji 20 wenye makampuni mbali mbali
kutua nchini kwa lengo la kutaka kushirikiana na wafanya biashara wenye
viwanda kwani itasaidia mchakato wa Tanzania kufikia uchumi wa wiwanda,"alisema
Octavian.

Octavian alisema kuwa makampuni hayo ya ang'ambo uenda sasa kutaendelea
kupungua kwa tatizo la vifungashio kwani wamiliki hao wanaviwanda vingi
vya vifungashio pamoja utengenezwaji wa malighafi zingine.

Naye Mkuu wa Msafara wa wawekezaji  toka Taiwan Eduardo Wang alisema
kuwa wao kama wamekezaji wamefurahishwa na wawekezaji wa Tanzania.


Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambayo ni Taasisi kuu ya Serikali ya kuratibu,
 kuhimiza, kukuza na kuwezesha uwekezaji nchini Tanzania na kuishauri kuhusu sera ya uwekezaji na masuala yanayohusiana na uwekezaji hadi sasa kimekuwa kikifanya juhudi kubwa kufikia mafanikio
katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda.

Ambapo kwa sasa TIC imekuwa ikitaja kuweka na kudumisha mazingira mazuri
ya uwekezaji kwa sekta binafsi.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...