Skip to main content

TCCIA yakutana na ujumbe wa wawekezaji 20 wakubwa kutoka nchini Taiwan


CHAMA Cha waganyabiashara wenye Viwanda,Kilimo nchini (TCCIA)
kimesema kuwa ujio wa wawekezaji 20 kutoka nchini Taiwan wataweza kusababisha
nia ya wenye makamuni lengo la kufikia uchumi wa kati.
Pichani Mkuu wa Msafara wa wawekezaji 20 toka Taiwan Eduardo Wang kushoto akimpatia
Kaimu Rais wa chama Cha wafanyabiashara wenye Viwanda, Kilimu (Tccia) Octavian
Mshiu nembo ya “dragon” ambayo ni heshima ya juu yenye kuwakilisha Nguvu, Afya
na Bahati Kadiri ya Mila na Desturi ya sehemu kubwa ya Mashariki ya Asia ikiwa 
ni ishara ya Shukrani kwa TCCIA kwa kuratibu vizuri.Picha na mpiga picha wetu.

Wawekezaji wa Tamzania wamepata fursa pekee ya kukutana na wawekezaji 
hao huku lengo la wawekezaji hao likiwa na nia ya kushirikiana wawekezaji
wa ndani katika kuelekea uchumi wa viwanda.

Akizungumza Dar es Salaam Kaimu Rais wa Chama Cha TCCIA Octavian Mshiu amesema
kuwa katika ujio huo wawekezaji wa Taiwan ndio waliokuwa wa kwanza kutaka
kufanya maongezi hayo ya kibiashara na wawekezaji wa Tanzania.

"Tumefurahi sana kwa msafara wa wekezaji 20 wenye makampuni mbali mbali
kutua nchini kwa lengo la kutaka kushirikiana na wafanya biashara wenye
viwanda kwani itasaidia mchakato wa Tanzania kufikia uchumi wa wiwanda,"alisema
Octavian.

Octavian alisema kuwa makampuni hayo ya ang'ambo uenda sasa kutaendelea
kupungua kwa tatizo la vifungashio kwani wamiliki hao wanaviwanda vingi
vya vifungashio pamoja utengenezwaji wa malighafi zingine.

Naye Mkuu wa Msafara wa wawekezaji  toka Taiwan Eduardo Wang alisema
kuwa wao kama wamekezaji wamefurahishwa na wawekezaji wa Tanzania.


Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambayo ni Taasisi kuu ya Serikali ya kuratibu,
 kuhimiza, kukuza na kuwezesha uwekezaji nchini Tanzania na kuishauri kuhusu sera ya uwekezaji na masuala yanayohusiana na uwekezaji hadi sasa kimekuwa kikifanya juhudi kubwa kufikia mafanikio
katika kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda.

Ambapo kwa sasa TIC imekuwa ikitaja kuweka na kudumisha mazingira mazuri
ya uwekezaji kwa sekta binafsi.



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.