Skip to main content

Ugonjwa wa Moyo ni kati ya magonjwa yasiyokuwa ya kuambukizwa,Profesa Andrew Swai


UGONJWA wa moyo (presha) ambao ni kati ya magonjwa yasiyokuwa ya kuambukizwa ambapo asilimia ya wagonjwa wa ugonjwa huo haioneshi kupungua tokea Shirika la Afya Duniani lilipo toa ripoti yake 2012.
Tokeo la picha la ugonjwa wa moyo

Hayo yalibainishwa leo na Mwenyekiti wa Chama cha ugonjwa wa kisukari Tanzania na Mwenyekiti wa magonjwa yasiyo yakuambukizwa Profesa Andrew Swai, wakati wa kampeni ya kupima kwa hiari magonjwa ya kuambukizwa iliyofanyika katika viunga vya Chuo kikuu huria cha Tanzania jijini Dar es Salaam.
Tokeo la picha la ugonjwa wa moyo
Blog hii lilitaka kufahamu zaidi nini sababu zaidi na nini kifanyike,Profesa Swai alisema kuwa tatizo kubwa lipo katika ulaji usiofaa ,kwakuwa watu wamekiuka misingi ya ulaji usiofaa na badala yake hujilia kwa kadri wawezavyo hivyo ameitaka jamii kuzingatia ulaji unaofaa.
Profesa Swai alisema kuwa kwa mujibu wa takwimu za shirika la Afya duniani za mwaka 2012 na tafiti zinazofanywa marakwamara na Chama cha ugonjwa wa kisukari, inaonesha plesha ni ugonjwa unaongoza kuliko magonjwa yote yasiyo kuwa ya kuambukizwa.
Ripoti ya ya WHO ya 2012 inaonesha wagonjwa wanaougua plesha wanaongoza kwa aslimia 26, sukari asilimia 9, na hata baada ya utafiti huo imeonekana ugonjwa wa plesha umeongezeka mara tatu kuanzia 2012.
 “Kwa muda mrefu tulikuwa tukielimisha ulaji unaofaa kila tunapopata fursa yakuzungumza na watanzania lakini bado jamii haizingatii ulaji bora na salama nakuwakumbusha umuhimu waulaji unaozingatia kiasi na si bora ulaji,”Alisema
Hata hivyo Profesa Swai amewataka watanzania kufanya mazoezi kila siku walau dk 30 za kuuweka mwili vizuri ili kukabiliana na magonjwa yasiyo yakuambukizwa kwakuwa magonjwa hayo ndiyo magonjwa yanayoongoza kwa vifo vingi barani Afrika.

Naye Meneja Mradi wa chama cha magonjwa yasiyokuwa yakuambukizwa Happy Nchimbi, alisema kuwa lengo kubwa lakufanya kampeni hiyo chuoni hapo ni katika kuhakikisha kuwa walimu na wanafunzi wanaosoma uwalimu wanaelewa umuhimu wakupima magonjwa yasiyo yakuambukizwa ili watakapo kuwa mashuleni iwe rahisi kuwaelimisha wanafunzi umuhimu wakupima afya zao.
“Kampeni hii ina lengo la kuvifikia vyuo vya uwalimu na na shule za msingi na sekondari kwakuwa serikali ina mpango wakurekebisha mitaala ya elimu nchini nakupendekezwa magonjwa yasiyo yakuambukizwa kuingizwa katika mitaala ya elimu nchini hivyo imetulazimu kuanza kampeni hii,”Alisema
Happy aliwataka wananchi kwa ujumla kujitokeza kupima katika kampeni hiyo kwakuwa hutolewa bure na hivi karibuni watakuwa chuo cha uwalimu Butimba Jijini Mwanza na baadae kampeni hiyo itaendeshwa katika mashule baada ya shule kufunguliwa.
Juma Salum ni miongoni mwa wananchi walijitokeza kupima afya ,alisema kuwa kampeni hiyo ni nzuri na inawafaa watu wa uchumi wa chini kwakuwa hutolewa bure lakini kikubwa amefahamu ana damu kiasi gani,plesha kiasi gani na sukari kiasi gani na kusema kuwa atarekebisha mwenendo wake ya maisha ili asije athirika na moja ya magonjwa yasiyokuwa yakuambukizwa.
“Binafsi zoezi ni zuri kilichonigusa kwanza ni bure halafu ni vipimo vya uhakika lakini nishafahamu afya yangu cha msingi nikuzingatia yale nliyoelekezwa na Daktari,”Alisema


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.