Skip to main content

CTI yahimiza wenye viwanda kujiunga ,Surbash Patel mwenyekiti mpya


Shirikisho la wenye Viwanda Tanzania (CTI) limewataka wanachama wake
kuwa waaminifu na waadilifu ili kulinda heshima ya chombo hicho pamoja
 na kuifikisha nchi katika uchumi wa kati kupitia sekta ya viwanda.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Aliyekuwa Mwenyekiti wa CTI Dkt.
Samuel Nyantahe wakati wa makabidhiano ya ofisi na Mwenyekiti mpya wa
shirikisho hilo,Surbash Patel yaliyofanyika katika ofisi za CTI jijini
humo.

“Tunakaribisha wenye viwanda kujiunga na na CTI kutokana na ukweli kwamba
tuna viwanda vingi lakini wanachama ni wachache, pia tunasisitiza nidhamu,
 uadilifu na uaminifu kwa wanachama,”anasema.

Nyatahe amesema shirikisho hilo lina jumla ya viwanda 1600 lakini kuna
wanachama zaidi 400 huku akiwawataka wenye viwanda ambao hawajiunga kujiunga
 na shirikisho ili kulifanya  liwe imara zaidi.

Dkt. Nyantahe amemkumbusha mwenyekiti mpya kuendelea  kushughulikia
changamoto zinazolikabili shirikisho hilo ikiwemo Sera ya mambo ya kodi
ambayo hubadilika badilika, ucheleweshaji wa kurejeshewa Kodi ya Ongezeko
ya Mapato (VAT), kuchelewa kutoa vibali vya kazi, kupandisha kwa ushuru wa
forodha kwa bidhaa zinazotoka nje pamoja na uwepo wa nishati ya umeme ya
uhakika.

“Sauti ya viwanda itakuwa kubwa tutakapokuwa na wanachama wengi kwakuwa umoja
ni nguvu utengano ni udhaifu,”alisema

Kwa upande wake Mwenyekiti mpya Surbash Patel amemshukuru mwenyekiti aliyemaliza
muda wake na kuahidi kufuata nyayo zake na kuendelea kumtumia mtangulizi wake katika
masuala yanayohitaji ufafanuzi zaidi.

“Nitashirikiana na wafanyakazi wenzangu pamoja na wanachama,kupaza sauti katika
kushughulikia changamoto zinazohusu viwanda nchini,”anasema.

Surbash amebainisha kuwa atahakikisha CTI inafanya kazi kwa karibu zaidi
na Serikali ya Awamu ya Tano ili kufanikisha adhima uchumi wa kati kupitia
sekta hiyo ifikapo mwaka 2020.

Ameongeza kuwa katika uongozi wake atawasaidia wanachama kutatua changamoto
zao lakini hatakuwa tayari kuwasaidia wanachama watakao kwenda kinyume na
sheria zinazoongoza CTI.

Naye Makamu Mwenyekiti wapili wa CTI, Shabbiri Zavery alitoa wito kwa watanzania
kuthamini,kupenda na kununua bidhaa za ndani ili kujenga uchumi wa Tanzania.

“Ninawahimiza watanzania waone fahari ya kutumia bidhaa zinazo zalishwa nchini
kwakufanya hivyo viwanda vyetu vitakua na mtaji wakuzalisha bidhaa bora,”anasema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...