Skip to main content

CTI yahimiza wenye viwanda kujiunga ,Surbash Patel mwenyekiti mpya


Shirikisho la wenye Viwanda Tanzania (CTI) limewataka wanachama wake
kuwa waaminifu na waadilifu ili kulinda heshima ya chombo hicho pamoja
 na kuifikisha nchi katika uchumi wa kati kupitia sekta ya viwanda.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Aliyekuwa Mwenyekiti wa CTI Dkt.
Samuel Nyantahe wakati wa makabidhiano ya ofisi na Mwenyekiti mpya wa
shirikisho hilo,Surbash Patel yaliyofanyika katika ofisi za CTI jijini
humo.

“Tunakaribisha wenye viwanda kujiunga na na CTI kutokana na ukweli kwamba
tuna viwanda vingi lakini wanachama ni wachache, pia tunasisitiza nidhamu,
 uadilifu na uaminifu kwa wanachama,”anasema.

Nyatahe amesema shirikisho hilo lina jumla ya viwanda 1600 lakini kuna
wanachama zaidi 400 huku akiwawataka wenye viwanda ambao hawajiunga kujiunga
 na shirikisho ili kulifanya  liwe imara zaidi.

Dkt. Nyantahe amemkumbusha mwenyekiti mpya kuendelea  kushughulikia
changamoto zinazolikabili shirikisho hilo ikiwemo Sera ya mambo ya kodi
ambayo hubadilika badilika, ucheleweshaji wa kurejeshewa Kodi ya Ongezeko
ya Mapato (VAT), kuchelewa kutoa vibali vya kazi, kupandisha kwa ushuru wa
forodha kwa bidhaa zinazotoka nje pamoja na uwepo wa nishati ya umeme ya
uhakika.

“Sauti ya viwanda itakuwa kubwa tutakapokuwa na wanachama wengi kwakuwa umoja
ni nguvu utengano ni udhaifu,”alisema

Kwa upande wake Mwenyekiti mpya Surbash Patel amemshukuru mwenyekiti aliyemaliza
muda wake na kuahidi kufuata nyayo zake na kuendelea kumtumia mtangulizi wake katika
masuala yanayohitaji ufafanuzi zaidi.

“Nitashirikiana na wafanyakazi wenzangu pamoja na wanachama,kupaza sauti katika
kushughulikia changamoto zinazohusu viwanda nchini,”anasema.

Surbash amebainisha kuwa atahakikisha CTI inafanya kazi kwa karibu zaidi
na Serikali ya Awamu ya Tano ili kufanikisha adhima uchumi wa kati kupitia
sekta hiyo ifikapo mwaka 2020.

Ameongeza kuwa katika uongozi wake atawasaidia wanachama kutatua changamoto
zao lakini hatakuwa tayari kuwasaidia wanachama watakao kwenda kinyume na
sheria zinazoongoza CTI.

Naye Makamu Mwenyekiti wapili wa CTI, Shabbiri Zavery alitoa wito kwa watanzania
kuthamini,kupenda na kununua bidhaa za ndani ili kujenga uchumi wa Tanzania.

“Ninawahimiza watanzania waone fahari ya kutumia bidhaa zinazo zalishwa nchini
kwakufanya hivyo viwanda vyetu vitakua na mtaji wakuzalisha bidhaa bora,”anasema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.