Skip to main content

Wagonjwa 20 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa moyo JKCI

upasuaji%2B1
a moyo wa kufungua kifua na kuwekewa  valvu zaidi ya mbili (milango ya moyo) kwenye kambi maalum ya matibabu inayofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Upasuaji huo unafanywa na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo kwa kushirikiana na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya  Misaada (IIRO) ya nchini Saudi  Arabia.

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete  Dkt. Bashir Nyangasa wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Dkt. Nyangasa ambaye pia ni daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu alisema upasuaji huo unafanywa kwa wagonjwa ambao valvu zao tatu hazifanyi kazi vizuri hivyo basi zinabadilishwa na kuwekwa valvu  za bandia.

“Kambi hii ni ya siku saba tangu ilipoanza tumefanya  upasuaji na kubadilisha valvu kwa wagonjwa tisa ambao hali zao zinaendelea vizuri na hii leo  wataanza kutoka katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) na kurudi wodini kuendelea na matibabu”, alisema Dkt. Nyangasa.

Kwa upande wa uhitaji wa damu wakati wa upasuaji Dkt. Nyangasa alisema mgonjwa mmoja  anatumia kati ya chupa tano  hadi saba lakini kama mgonjwa atapata tatizo  anaweza kutumia chupa zaidi ya hizo na kuwaomba wananchi wajitokeze  kwa wingi kuchangia damu. Aidha Dkt. Nyangasa aliwasisitiza wananchi kujiunga na mifuko ya bima za afya wangali na afya njema wasisubiri kujiunga na mifuko hiyo wakati wagonjwa.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya  Misaada (IIRO) Tanzania, Hassan Katungunya alisema wanashukuru kwa wataalam hao kuja hapa nchini kufanya matibabuya moyo  kwa wagonjwa.

Katugunya alisema , “Ni faraja kuona  miongoni mwa watanzania wanyonge wanapata msaada wa matibabu kwani upasuaji wa moyo ni wa gharama na kuna wengine hawana uwezo wa kulipa”.
“Tunaomba uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Saudi Arabia uendelee.  Wageni wetu hawa wamepata faraja  kwa kuona nchi yetu inawajali na hawapati usumbufu wakati wa kuingia na kutoka nchini”,.

Jumla ya wataalam wa afya 15 wamekuja kwa ajili ya kufanya upasuaji wa moyo kati ya hao kuna madaktari bingwa, madaktari wa usingizi na wagonjwa mahututi, wataalam wa mashine za moyo na wauguzi.
upasuaji%2B2
Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya Misaada (IIRO) ya nchini Saudi Arabia wakiendelea na kazi ya kumfanyia mgonjwa upasuaji wa kubadilisha valvu ambazo hazifanyi kazi vizuri katika kambi maalum ya matibabu inayofanyika JKCI. Jumla ya wagonjwa tisa wameshafanyiwa upasuaji na hali zao zinaendelea vizuri.
upasuaji%2B3
Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya Misaada (IIRO) ya nchini Saudi Arabia wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kubadilisha valvu ambazo hazifanyi kazi vizuri katika kambi maalum ya matibabu inayofanyika JKCI. Jumla ya wagonjwa 20 wanatarajia kufanyiwa upasuaji wa kubadilishwa valvu zaidi ya mbili ambazo hazifanyi kazi vizuri.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.