Skip to main content

Wagonjwa 20 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa moyo JKCI

upasuaji%2B1
a moyo wa kufungua kifua na kuwekewa  valvu zaidi ya mbili (milango ya moyo) kwenye kambi maalum ya matibabu inayofanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Upasuaji huo unafanywa na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo kwa kushirikiana na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya  Misaada (IIRO) ya nchini Saudi  Arabia.

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete  Dkt. Bashir Nyangasa wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Dkt. Nyangasa ambaye pia ni daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu alisema upasuaji huo unafanywa kwa wagonjwa ambao valvu zao tatu hazifanyi kazi vizuri hivyo basi zinabadilishwa na kuwekwa valvu  za bandia.

“Kambi hii ni ya siku saba tangu ilipoanza tumefanya  upasuaji na kubadilisha valvu kwa wagonjwa tisa ambao hali zao zinaendelea vizuri na hii leo  wataanza kutoka katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) na kurudi wodini kuendelea na matibabu”, alisema Dkt. Nyangasa.

Kwa upande wa uhitaji wa damu wakati wa upasuaji Dkt. Nyangasa alisema mgonjwa mmoja  anatumia kati ya chupa tano  hadi saba lakini kama mgonjwa atapata tatizo  anaweza kutumia chupa zaidi ya hizo na kuwaomba wananchi wajitokeze  kwa wingi kuchangia damu. Aidha Dkt. Nyangasa aliwasisitiza wananchi kujiunga na mifuko ya bima za afya wangali na afya njema wasisubiri kujiunga na mifuko hiyo wakati wagonjwa.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya  Misaada (IIRO) Tanzania, Hassan Katungunya alisema wanashukuru kwa wataalam hao kuja hapa nchini kufanya matibabuya moyo  kwa wagonjwa.

Katugunya alisema , “Ni faraja kuona  miongoni mwa watanzania wanyonge wanapata msaada wa matibabu kwani upasuaji wa moyo ni wa gharama na kuna wengine hawana uwezo wa kulipa”.
“Tunaomba uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Saudi Arabia uendelee.  Wageni wetu hawa wamepata faraja  kwa kuona nchi yetu inawajali na hawapati usumbufu wakati wa kuingia na kutoka nchini”,.

Jumla ya wataalam wa afya 15 wamekuja kwa ajili ya kufanya upasuaji wa moyo kati ya hao kuna madaktari bingwa, madaktari wa usingizi na wagonjwa mahututi, wataalam wa mashine za moyo na wauguzi.
upasuaji%2B2
Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya Misaada (IIRO) ya nchini Saudi Arabia wakiendelea na kazi ya kumfanyia mgonjwa upasuaji wa kubadilisha valvu ambazo hazifanyi kazi vizuri katika kambi maalum ya matibabu inayofanyika JKCI. Jumla ya wagonjwa tisa wameshafanyiwa upasuaji na hali zao zinaendelea vizuri.
upasuaji%2B3
Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya Misaada (IIRO) ya nchini Saudi Arabia wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kubadilisha valvu ambazo hazifanyi kazi vizuri katika kambi maalum ya matibabu inayofanyika JKCI. Jumla ya wagonjwa 20 wanatarajia kufanyiwa upasuaji wa kubadilishwa valvu zaidi ya mbili ambazo hazifanyi kazi vizuri.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...