Skip to main content

Shirikisho la magonjwa yasio ya kuambukiza lafanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa

Shirikisho la magonjwa yasio ya kuambukiza limeanza dhiara
ya kutoa elimu juu ya ugonjwa huo katika mikoa ya Kanda
ya Ziwa. 
Chuo cha Walimu Shinyanga
 
 Hayo yamesemwa jana na  Meneja Mradi wa Shirikisho hilo Happy
Nchimbi,ambapo amebainisha kuwa tayari wameanza kampeni inayolengo
kuvifikia vyuovya mbali mbali nchini  na shule za msingi na sekondari
kuelimisha juu ya ugonjwa huo.

Amesema  kuwa shinikizo la juu la damu ni kati ya magonjwa
yasiyokuwa ya kuambukizwa ambapo asilimia ya wagonjwa wa
ugonjwa huo haioneshi kupungua.

"Tumeanza kampeni hiyo katika mikoa ya kana ya ziwa ambapo
kuanzia septemba 20 na 21 tumetoa elimu juu ya magonjwa hayo
kwenye Chuo cha Walimu Shinyanga na kuwa zoezi la uelimishaji
limepokelewa vema,"amesema Happy.

Happy alisema kuwa zoezi hilo linaendelea septemba ambapo
Septemba 22 na 23 watakuwa Chuo cha Walimu Butimba mkoani
mwanza.


Amesema katika kuendelea na uelimishaji huo Kanda ya Ziwa Septemba
24 na 25 watakuwa Musoma Utalii Teachers and High School .

Shirikisho la magonjwa yasio ya kuambukiza limeanza ziara hiyo
ikiwa ni kuhakikisha vijana wanapata elimu ya kutosha ili kuweza
kuelimisha UMMA na familia zinazozingatia mitindo bora ya maisha
ikiwa pamoja na ulaji unaofaa na kufanya mazoezi na kuepuka
matumizi ya Sigara na unywaji wa pombe uliozidi.


Meneja huyo pia alisisitiza kuwa kwakuwa serikali ina mpango
wa kurekebisha mitaala ya elimu nchini Shirikisho hilo la Magonjwa
yasiyo ya Kuambukiza limeanza kampeni kutaka magonjwa yasiyo
yakuambukizwa kuingizwa katika mitaala.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa magonjwa yasiyo yakuambukizwa Profesa Andrew
Swai amesema  kampeni waliyoianzisha ya kupima kwa hiari magonjwa ya
kuambukizwa iliyoamzia katika viunga vya Chuo Kikuu Huria Dar es Salaa
Salaam hivi karibuni alisema tatizo kubwa lipo katika ulaji usiofaa,kwakuwa watu
wamekiuka misingi ya ulaji usiofaa na badala yake hujilia kwa kadri wawezavyo
hivyo ameitaka jamii kuzingatia ulaji unaofaa.
Profesa Swai amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za shirika la Afya duniani
za mwaka 2012 na tafiti zinazofanywa marakwamara na Shirikisho la Vyama vya
Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza, inaonesha shinikizo la juu la damu ni ugonjwa
unaongoza kuliko magonjwa yote yasiyo kuwa ya kuambukizwa.
Ripoti ya ya WHO ya 2012 inaonesha wagonjwa wanaougua plesha wanaongoza kwa
aslimia 26, sukari asilimia 9, na hata baada ya utafiti huo imeonekana ugonjwa
wa plesha umeongezeka mara tatu kuanzia 2012.
Imeelezwa kuwa watu 9 kwa kila 100 ya Watanzania wenye umri wa miaka 25
na kuendele wana ugonjwa wa kisukari,hata hivyo inatajwa kuwa kati ya
hao 9 ni wawili tu wanaojijua kuwa wanakisukari.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...