Skip to main content

Shirikisho la magonjwa yasio ya kuambukiza lafanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa

Shirikisho la magonjwa yasio ya kuambukiza limeanza dhiara
ya kutoa elimu juu ya ugonjwa huo katika mikoa ya Kanda
ya Ziwa. 
Chuo cha Walimu Shinyanga
 
 Hayo yamesemwa jana na  Meneja Mradi wa Shirikisho hilo Happy
Nchimbi,ambapo amebainisha kuwa tayari wameanza kampeni inayolengo
kuvifikia vyuovya mbali mbali nchini  na shule za msingi na sekondari
kuelimisha juu ya ugonjwa huo.

Amesema  kuwa shinikizo la juu la damu ni kati ya magonjwa
yasiyokuwa ya kuambukizwa ambapo asilimia ya wagonjwa wa
ugonjwa huo haioneshi kupungua.

"Tumeanza kampeni hiyo katika mikoa ya kana ya ziwa ambapo
kuanzia septemba 20 na 21 tumetoa elimu juu ya magonjwa hayo
kwenye Chuo cha Walimu Shinyanga na kuwa zoezi la uelimishaji
limepokelewa vema,"amesema Happy.

Happy alisema kuwa zoezi hilo linaendelea septemba ambapo
Septemba 22 na 23 watakuwa Chuo cha Walimu Butimba mkoani
mwanza.


Amesema katika kuendelea na uelimishaji huo Kanda ya Ziwa Septemba
24 na 25 watakuwa Musoma Utalii Teachers and High School .

Shirikisho la magonjwa yasio ya kuambukiza limeanza ziara hiyo
ikiwa ni kuhakikisha vijana wanapata elimu ya kutosha ili kuweza
kuelimisha UMMA na familia zinazozingatia mitindo bora ya maisha
ikiwa pamoja na ulaji unaofaa na kufanya mazoezi na kuepuka
matumizi ya Sigara na unywaji wa pombe uliozidi.


Meneja huyo pia alisisitiza kuwa kwakuwa serikali ina mpango
wa kurekebisha mitaala ya elimu nchini Shirikisho hilo la Magonjwa
yasiyo ya Kuambukiza limeanza kampeni kutaka magonjwa yasiyo
yakuambukizwa kuingizwa katika mitaala.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa magonjwa yasiyo yakuambukizwa Profesa Andrew
Swai amesema  kampeni waliyoianzisha ya kupima kwa hiari magonjwa ya
kuambukizwa iliyoamzia katika viunga vya Chuo Kikuu Huria Dar es Salaa
Salaam hivi karibuni alisema tatizo kubwa lipo katika ulaji usiofaa,kwakuwa watu
wamekiuka misingi ya ulaji usiofaa na badala yake hujilia kwa kadri wawezavyo
hivyo ameitaka jamii kuzingatia ulaji unaofaa.
Profesa Swai amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za shirika la Afya duniani
za mwaka 2012 na tafiti zinazofanywa marakwamara na Shirikisho la Vyama vya
Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza, inaonesha shinikizo la juu la damu ni ugonjwa
unaongoza kuliko magonjwa yote yasiyo kuwa ya kuambukizwa.
Ripoti ya ya WHO ya 2012 inaonesha wagonjwa wanaougua plesha wanaongoza kwa
aslimia 26, sukari asilimia 9, na hata baada ya utafiti huo imeonekana ugonjwa
wa plesha umeongezeka mara tatu kuanzia 2012.
Imeelezwa kuwa watu 9 kwa kila 100 ya Watanzania wenye umri wa miaka 25
na kuendele wana ugonjwa wa kisukari,hata hivyo inatajwa kuwa kati ya
hao 9 ni wawili tu wanaojijua kuwa wanakisukari.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.