Skip to main content

TUCTA yalaani taarifa ya upotoshaji ya LHRC yamtaka Mkurugenzi kufuta kauli yake

Shirikisho la vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) limemtaka Mkurugenzi wa
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga kufuta kauli yake
kuwa kituo hicho kimebaini vyama vya wafanyakazi havina msaada  na kwamba 
wafanyakazi hufanya kazi kwa muda wa ziada bila malipo pamoja na  kufanya 
bila mikataba ya ajira.

Aidha, TUCTA limesema taarifa hiyo ni upotoshaji na wanaipinga na kwamba 
haina chembe ya ukweli kwani inapingana na takwimu zilizopo kwenye ripoti 
husika.

Hatua hiyo  imekuja hivi karibuni baada ya mkurugenzi  huyo kusikiaka 
akitoa kauli wakati akihojiwa na BBC News akieleza taarifa hiyo iliyoitwa 
ya upotoshaji.

Hayo yamesemwa jijini humo jana na Katibu Mkuu wa  shirikisho hilo,Yahaya
 Msigwa wakati akitoa tamko la kupinga taarifa iliyotolewa na LHRC 
inayoelezea utendaji kazi wa vyama hivyo nchini.

Alisema TUCTA wameisoma ripoti hiyo ya LHRC ya Muhtasari wa Haki za 
Binadamu na Biashara ya mwaka 2017 kwa umakini na kubaini maelezo 
yaliyotolewa yanapingana  kabisa na ripoti ya kituo hicho.

Msigwa amebainisha kuwa vyama vya wafanyakazi  vinafanya kazi kwa misingi 
ya sheria na kwamba Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977 kama 
ilivyorekebishwa Ibara ya 18 na 19 wamepewa uhuru wa kutoa maoni na 
kujumuika kwa watu wenye masilahi yanayofanana.

Amefafanua kuwa katika ripoti ya LHRC imebainisha kuwa asilimia 74 ya 
wafanyakazi waliohojiwa walisema wana mikabata ya ajira,asilimia 95 
ya wafanyakazi walibainisha wanafanya kazi kwa muda unaotakiwa kisheria,
asilimia 73 wakibainisha mazingira ya kazi ni ya wastani, mazuri na 
mazuri sana.

Ripoti hiyo imebainisha kuwa asilimia 55 wamepata mafunzo ya afya na usalama
kazini,asilimia 45 walikiri kuwa fidia hutolewa kwa wafanyakazi wanaoumia 
kazini huku asilimia 66 ya wafanyakazi walikiri kuwa na matawi ya vyma hivyo
 huku ripoti hiyo ikiongeza asilimia 90 waliohojiwa walisema wwanakwenda 
likizo kwa muda na kwamba asilimia 75 ya wafanykazi waliotembelewa walisema
 wana utaratibu wa ndani wa kushuhulikia matatizo yao.

Amefafanua kuwa kwenye taarifa hiyo ukurasa wa 13 kuhuusu uelewa wa sheria 
za kazi,haki na wajibu wa wafanyakazi LHRC walikiri wafanyakazi wana uelewa
 wa elimu ya juu ya umuhimu wa vyama hivyo.

Ameongeza kuwa vyama hivyo vinatimiza majukumu yake ipasavyo kwa kuwatetea 
wafanyakazi na kusimamia madai yao.

Kwa upande wake Mwansheria wa TUCTA,Noel Nchimbi amesema matamshi yaliyotolewa 
hayaendani na ukweli ulioko kwenye ripoti ya kituo hicho hivyo kinapaswa kufuta
 matamshi hayo.

Naye Katibu Mkuu wa Tewuta,Junus Ndalo amesisitiza kuwa kituo hicho kimepotea
taarifa ya upotoshaji inavyovishushia hadhi vyama vya wafanyakazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...