Skip to main content

Ireland yatoa Sh 2.6 bilion kukuza sekta ya kilimo nchini

KATIKA kuhakikisha sekta ya kilimo inapewa kipaumbele katika kujenga uchumi ambapo
ubalozi wa Ireland umetoa msaada wa shilingi 2.6 bilion ili kuweza kukuza sekta hiyo
hapa nchini.


Akizungumza nawaandishiwa habari Dares Salaam mwakilishi wa (WFP) nchini Tanzania Michael
Dunford alisema msaada huo unafuatiwana juhudi za ubalozi huo kwakushirikiana na mradi
wa kupboresha  sektaya kilimo awamu yapili Agriculture Sector Development(ASDP11)

"Mradi huo wa ASDP awammu ya pili unaelenga kukuza sekta binafsi na viwanda ili
kuleta tija katika kukuza sekta ya uzalishaji na kukuza ajira,"alisema Dunford.

Dunford alisema mradi huo unalenga kukuza uzalihaji wa chakula na kupeleka chakula
katika meeneo ya karibu na kambi za wakimbizi kama vile Burundi,Congo pamoja
na kambi zilizopo mjini Kigoma.

Alisema mradi huo unawalenga wakulima takribani 6000, na kuwa utajumisha kukuza
uzalishaji wa bidhaa za wakulima na kutafuta masoko.

"Sambamba na mradi wa Agriculture Development Program(ASDP11) pia nchi ya Ireland
kwa kushirikiana na nchi za Denmark na Sweden,watasaidia kukuza viwanda vidogo vidogo 
na vile vya kati,"aliongeza Dunford .

Aliongeza kuwa taasisi ya development trust imewekeza dola 12.6 millioni
sawa na shilingi bilioni 28,8 kitanzania mnyororo wa thamani wa mazao
ya biashara ikiwemo halizeti na mahindi.

Dunford alisisitisa kuwa mradi huo utanufaisha wakulima takribani 190,000
katika mikoa 15 nchini.

Naye balozi wa Ireland Poul Sherlack alisema kuwa fedha hizo zitaweza kusaidia
 kukuza sekta ya kilimo kuleta mageuzi ya viwanda kuelekea uchumi wa kati.

"Katika kuelekea uchumi wa viwanda sekta ya kilimo nimuhimu sana kwa
nchi ya Tanzania katika kukuza mnyororo wa thamani wa bidhaa,"alisema
Sherlack.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...