Skip to main content

Ireland yatoa Sh 2.6 bilion kukuza sekta ya kilimo nchini

KATIKA kuhakikisha sekta ya kilimo inapewa kipaumbele katika kujenga uchumi ambapo
ubalozi wa Ireland umetoa msaada wa shilingi 2.6 bilion ili kuweza kukuza sekta hiyo
hapa nchini.


Akizungumza nawaandishiwa habari Dares Salaam mwakilishi wa (WFP) nchini Tanzania Michael
Dunford alisema msaada huo unafuatiwana juhudi za ubalozi huo kwakushirikiana na mradi
wa kupboresha  sektaya kilimo awamu yapili Agriculture Sector Development(ASDP11)

"Mradi huo wa ASDP awammu ya pili unaelenga kukuza sekta binafsi na viwanda ili
kuleta tija katika kukuza sekta ya uzalishaji na kukuza ajira,"alisema Dunford.

Dunford alisema mradi huo unalenga kukuza uzalihaji wa chakula na kupeleka chakula
katika meeneo ya karibu na kambi za wakimbizi kama vile Burundi,Congo pamoja
na kambi zilizopo mjini Kigoma.

Alisema mradi huo unawalenga wakulima takribani 6000, na kuwa utajumisha kukuza
uzalishaji wa bidhaa za wakulima na kutafuta masoko.

"Sambamba na mradi wa Agriculture Development Program(ASDP11) pia nchi ya Ireland
kwa kushirikiana na nchi za Denmark na Sweden,watasaidia kukuza viwanda vidogo vidogo 
na vile vya kati,"aliongeza Dunford .

Aliongeza kuwa taasisi ya development trust imewekeza dola 12.6 millioni
sawa na shilingi bilioni 28,8 kitanzania mnyororo wa thamani wa mazao
ya biashara ikiwemo halizeti na mahindi.

Dunford alisisitisa kuwa mradi huo utanufaisha wakulima takribani 190,000
katika mikoa 15 nchini.

Naye balozi wa Ireland Poul Sherlack alisema kuwa fedha hizo zitaweza kusaidia
 kukuza sekta ya kilimo kuleta mageuzi ya viwanda kuelekea uchumi wa kati.

"Katika kuelekea uchumi wa viwanda sekta ya kilimo nimuhimu sana kwa
nchi ya Tanzania katika kukuza mnyororo wa thamani wa bidhaa,"alisema
Sherlack.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.