Skip to main content

Mhandisi Isack Kamwelwe akagua kipande kilichotandikwa reli ya kisasa ya SGR

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe
(katikati) akikagua kipande kilichotandikwa reli ya kisasa ya SGR,
Soga mkoani Pwani. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Uchukuzi na
Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye na kushoto ni Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania,Masanja Kadogosa.

MRADI mkubwa wa ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard Gauge unaendelea
nchini, Reli hiyo itakayoanzia bandari ya Dar es Salaam hadi mji mkuu wa
Dodoma na baadaye hadi nchi za jirani za Rwanda Burundi na DR Congo
umeanza kutandazwa reli katika eneo la soga mkoani Pwani.


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amezindua
rasmi kazi ya utandikaji wa reli ya kisasa ya SGR kwenye eneo la Soga lililopo
mkoani Pwani ambapo reli hiyo inajengwa kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kwa
 umbali wa kilomita 300 na  kushuhudiwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na
Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli
 Tanzania Masanja Kadogosa.


Akizindua atua hiyo  mkoani humo Kamwelwe aliwahimiza mainjinia 60 wazalendo
wenye utaalamu na ujuzi wa uhandisi wamepata mafunzo na wamehimizwa
kupata weledi kwa kujifunza vema kupitia mradi huo.


alisema Kampuni ya Yapi Merkezi ya nchini Uturuki imeendelea kufanyaujenzi
wake nchini ambapo kupitia ziara hiyo waziri Kamwelwe alitembelea alitembelea
uzalishaji wa mataruma ya zege kwa ajili ya reli ya kisasa (SGR) kutoka Dar
es Salaam hadi kwenye kambi kuu ya ujenzi wa mradi huo iliyopo Soga.

"Napenda kuwahasa mainjinia wetu kujifunza kupitia mradi hao vijana hao
60  wazalendo wenye utaalamu na ujuzi wa uhandisi wajifunze kwa weledi mkubwa 
wakiwa na kampuni hiyo ya Uturuki,"alisema Waziri Kamwelwe.


Waziri Kamwelwe alisema kuwa reli hiyo ya kisasa itakuwa ya treni yenye
kasi ya kilomota 160 kwa saa na uendeshaji wake utatumia umeme .

Amefafanua kuwa Serikali iliagiza reli peke yake kutoka nchini Japan ambapo
kiasi cha tani 7,250 ziliingizwa nchini katika kipindi cha wiki mbili
zilizopita ambapo reli hizo zitatumika kujenga reli hiyo ya kisasa ya SGR
kwa ukubwa wa kilomita 60. 
Kupitia mradi huo hadi sasa watanzania wamekuwa wakichangamkia fursa za
 ajira zitokanazo na utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa ya
Standard Gauge Railway (SGR) Line kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.


"serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt.John Pombe Magufuli
imeendelea kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi na kuwa miradi
mbali mbali imekuwa ikitekelezwa,"alisema Waziri Kamwelwe.

Ameongeza kuwa reli hiyo itatumia umeme na sio dizeli ambapo TANESCO imepewa
jukumu la kutoa umeme kutoka kwenye gridi ya taifa na kuleta kwenye mfumo wa
reli ya kisasa ya SGR ambapo jumla ya megawati 160 zitahitajika kuendesha reli
hiyo kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro. Shirika la Reli Tanzania litakuwa na
jukumu la uhandisi ujenzi, madaraja, mifumo na njia kwa ajili ya kuendesha reli
ya kisasa ya SGR.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...