Skip to main content

Waziri Mkuu kuongoza maadhimisho ya kihistoria ya Mtukufu Aga Khan, ni miaka 60 tangu asimikwe Imam wa Shia Ismaili


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 60 tangu Mtukufu Aga Khan kusimikwa kuwa kiongozi (Imamu) wa madhehebu ya Shia Ismaili duniani.
Maadhimisho hayo yatakayofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumatatu hadi Jumatano wiki ijayo yatatanguliwa na maonyesho ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na mtandao wa taasisi za Aga Khan zilizopo hapa nchini.
Mratibu wa mawasiliano wa Baraza la Shia Ismaili Tanzania, Aly Ramji, amesema katika maadhimisho hayo pia kutafanyika matamasha mbalimbali ya utangulizi yatakayohusisha Watanzania wenye tamaduni mbalimbali, kabla ya kilele rasmi kitakachofanyika Julai 11, mwaka huu.
Mtandao wa Taasisi za Aga Khan nchini zinajumuisha Mfuko wa Aga Khan (AKF), Hospitali za Aga Khan (AKHS), Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) na Chuo Kikuu cha Aga Khan ambazo kwa pamoja malengo yake ni kupunguza umaskini na kuchochea maendeleo ya nchi.
“Kwa kuanzisha miradi ya maendeleo, kusaidia watu kuishi maisha bora na kuongeza fursa kwa ajili ya familia zao na watoto wao, Jumuiya ya Ismailia imepania kuifanya dunia sehemu salama, yenye amani na sehemu imara,” alisema.
Katika miradi yake, taasisi ya Aga Khan kupitia mfuko wake wa AKF pia imesaidia kuboresha maisha ya wakulima zaidi ya 100,000 kupitia vikundi vya kuweka na kukopa 9,200 nchi nzima.
Pia taasisi nyingine ya Chuo Kikuu cha Aga Khan nayo imekwishatoa nafasi za masomo ya shahada ya uzamili kwa Watanzania zaidi ya 250 na kutoa mafunzo mengine kwa wakufunzi wa vyuo wapatao 3,000.
Aga Khan alisimikwa kuwa kiongozi wa madhehebu ya Shia Ismaili mwaka 1957 akiwa na umri wa miaka 20 baada ya kifo cha babu yake ambaye alikuwa Imamu wa 49 wa madhehebu hayo.
Wafuasi wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani wako katika nchi zaidi ya 25 zilizoko kwenye mabara ya Asia, Afrika, Mashariki ya Kati, Ulaya, Amerika Kaskazini na Australia.
 “Jumuiya ya Ismaili inaiona hii jubilee kuwa ni nafasi ya kutoa matumaini kwa ajili ya vizazi vya baadaye ambavyo viko hatarini kutengwa,” alisema Ramji.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...