Skip to main content

Waziri Mkuu kuongoza maadhimisho ya kihistoria ya Mtukufu Aga Khan, ni miaka 60 tangu asimikwe Imam wa Shia Ismaili


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 60 tangu Mtukufu Aga Khan kusimikwa kuwa kiongozi (Imamu) wa madhehebu ya Shia Ismaili duniani.
Maadhimisho hayo yatakayofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumatatu hadi Jumatano wiki ijayo yatatanguliwa na maonyesho ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na mtandao wa taasisi za Aga Khan zilizopo hapa nchini.
Mratibu wa mawasiliano wa Baraza la Shia Ismaili Tanzania, Aly Ramji, amesema katika maadhimisho hayo pia kutafanyika matamasha mbalimbali ya utangulizi yatakayohusisha Watanzania wenye tamaduni mbalimbali, kabla ya kilele rasmi kitakachofanyika Julai 11, mwaka huu.
Mtandao wa Taasisi za Aga Khan nchini zinajumuisha Mfuko wa Aga Khan (AKF), Hospitali za Aga Khan (AKHS), Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) na Chuo Kikuu cha Aga Khan ambazo kwa pamoja malengo yake ni kupunguza umaskini na kuchochea maendeleo ya nchi.
“Kwa kuanzisha miradi ya maendeleo, kusaidia watu kuishi maisha bora na kuongeza fursa kwa ajili ya familia zao na watoto wao, Jumuiya ya Ismailia imepania kuifanya dunia sehemu salama, yenye amani na sehemu imara,” alisema.
Katika miradi yake, taasisi ya Aga Khan kupitia mfuko wake wa AKF pia imesaidia kuboresha maisha ya wakulima zaidi ya 100,000 kupitia vikundi vya kuweka na kukopa 9,200 nchi nzima.
Pia taasisi nyingine ya Chuo Kikuu cha Aga Khan nayo imekwishatoa nafasi za masomo ya shahada ya uzamili kwa Watanzania zaidi ya 250 na kutoa mafunzo mengine kwa wakufunzi wa vyuo wapatao 3,000.
Aga Khan alisimikwa kuwa kiongozi wa madhehebu ya Shia Ismaili mwaka 1957 akiwa na umri wa miaka 20 baada ya kifo cha babu yake ambaye alikuwa Imamu wa 49 wa madhehebu hayo.
Wafuasi wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani wako katika nchi zaidi ya 25 zilizoko kwenye mabara ya Asia, Afrika, Mashariki ya Kati, Ulaya, Amerika Kaskazini na Australia.
 “Jumuiya ya Ismaili inaiona hii jubilee kuwa ni nafasi ya kutoa matumaini kwa ajili ya vizazi vya baadaye ambavyo viko hatarini kutengwa,” alisema Ramji.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.