Skip to main content

Waziri Mkuu kuongoza maadhimisho ya kihistoria ya Mtukufu Aga Khan, ni miaka 60 tangu asimikwe Imam wa Shia Ismaili


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 60 tangu Mtukufu Aga Khan kusimikwa kuwa kiongozi (Imamu) wa madhehebu ya Shia Ismaili duniani.
Maadhimisho hayo yatakayofanyika kwa siku tatu kuanzia Jumatatu hadi Jumatano wiki ijayo yatatanguliwa na maonyesho ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na mtandao wa taasisi za Aga Khan zilizopo hapa nchini.
Mratibu wa mawasiliano wa Baraza la Shia Ismaili Tanzania, Aly Ramji, amesema katika maadhimisho hayo pia kutafanyika matamasha mbalimbali ya utangulizi yatakayohusisha Watanzania wenye tamaduni mbalimbali, kabla ya kilele rasmi kitakachofanyika Julai 11, mwaka huu.
Mtandao wa Taasisi za Aga Khan nchini zinajumuisha Mfuko wa Aga Khan (AKF), Hospitali za Aga Khan (AKHS), Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) na Chuo Kikuu cha Aga Khan ambazo kwa pamoja malengo yake ni kupunguza umaskini na kuchochea maendeleo ya nchi.
“Kwa kuanzisha miradi ya maendeleo, kusaidia watu kuishi maisha bora na kuongeza fursa kwa ajili ya familia zao na watoto wao, Jumuiya ya Ismailia imepania kuifanya dunia sehemu salama, yenye amani na sehemu imara,” alisema.
Katika miradi yake, taasisi ya Aga Khan kupitia mfuko wake wa AKF pia imesaidia kuboresha maisha ya wakulima zaidi ya 100,000 kupitia vikundi vya kuweka na kukopa 9,200 nchi nzima.
Pia taasisi nyingine ya Chuo Kikuu cha Aga Khan nayo imekwishatoa nafasi za masomo ya shahada ya uzamili kwa Watanzania zaidi ya 250 na kutoa mafunzo mengine kwa wakufunzi wa vyuo wapatao 3,000.
Aga Khan alisimikwa kuwa kiongozi wa madhehebu ya Shia Ismaili mwaka 1957 akiwa na umri wa miaka 20 baada ya kifo cha babu yake ambaye alikuwa Imamu wa 49 wa madhehebu hayo.
Wafuasi wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani wako katika nchi zaidi ya 25 zilizoko kwenye mabara ya Asia, Afrika, Mashariki ya Kati, Ulaya, Amerika Kaskazini na Australia.
 “Jumuiya ya Ismaili inaiona hii jubilee kuwa ni nafasi ya kutoa matumaini kwa ajili ya vizazi vya baadaye ambavyo viko hatarini kutengwa,” alisema Ramji.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...