Skip to main content

Madiwani: Wamuunga mkono Maalim Seif

MADIWANI wa Chama cha Wananchi(CUF) jana Dar es Salaam wamekutana katika ofisi zao
na kutoa tamko rasmi juu ya sintofahamu inayoendelea kaika chama hicho.

Kwa pamoja wameunga mkono hotuba  na msimamo wa Chama chao uliotolewa
hivi karibuni na Katibu wao Mkuu Maalim Seif Sharifu  Hamad, madiwani hao
wa CUF kutoka manispaa za Mkoa wa Dar es Salaam walitoa ujumbe huo  ili
uweze kuwafiki wana chama wao na wapenda mabadiliko nchini kwa ujumla.

Wakizungumza juu ya msimamo wao madiwani hao walisema kuwa chama cho
kilishiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015bila ya kuwa na mwenyekiti
wa Chama  Taifa kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa  Mwenyekiti wao
Profesa Ibrahim Lipumba kwa utashi wake mwenyewe mbali na kumusihi
sana kusitisha mpango wake huo.

"Kila mmoja wetu  kwa upande wao alishiriki kwa namna moja ama nyingine
kuhakikisha Profesa Lipumba hajiuzulu nafasi ya uenyekiti  wa chama
Taifa,waliamini kuwa  kujiudhulu kwake kungeweza kuleta athari
kwetu  tuliamini kuwa  kujiuzuru  kwake kungeweza kuleta athari
kwa sisi  wagombea watarajiwa  wakati huo na kuathiri ushirikiano
wa vyama vyetu katika UKAWA,"Alisema Omry Kumbilamoto 
ambaye ni naibu mea Ilala.
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad.


Omry alisema kuwa Profesa Lipumba alipuuza kilio chao  wote  wana CUF
ambapo alishikilia msimamo wake  na mara baada ya kutoa  taarifa
hiyo rasmi ya Kung'atuka ama kujiuzulu  pale kwenye hoteli ya Peacock
Augusti 2016 ambapo alielekea Kigali nchini Rwanda kwa shughuli
aliyoiita  a utafiti  wa kiuchumi wenyelengo  la kuja kuisaidia
serikali ijayo ya awamu ya Tano.


Aidha alisema kuwa  wao madiwani 19 waliopo  mbele kwa wakati huo jana waliweza pia
kupambana  katika uchaguzi  Mkuu wa Otoba  mwaka 2015 bila ya kuwa na Makamu
Mwenyekiti Taifa  Mhe. Juma Duni  Haji ambaye  kwa mujibu wa makubaliano
ya UKAWA alilazimika kujiunga  Chadema ili apate  nafasi ya kuwa Mgombea
Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania.


"Tumeshiriki Uchaguzi tukiwa tukiwa  kama Mayatima  na Wakiwa, tumeweza kushinda
 nafasi tulizo pata za kuwakilisha wananchi  katika  kata zetu  katika mazingira
 magumu bila ya uwepo  na ushiriki wa  Profesa Lipumba ambapombali na  kudai kuwa
atabaki  kuwa mwanachama  wa kawaida na kuahidi kushiriki kampeni  za majimbo hakuweza
kufanya  hivyo hata katika Jimbo au Kata moja  na si pekee kwa Dar es Salaam
hakushiriki kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 katika maeneo yote
nchini,"alisema Omry.


Omry alisema kuwa wanapinga juhudi zote zinazofanywa na Profesa Lipumba
na wafuasi wake wote ambao wamekuwa  na vitendo  na mwenendo  usio faa
wa kuharibu  mali za Chama  na kusababisha uvunjifu wa amani,kuharibu
taswira  ya Chama mbele ya Jamii.


Kwa pamoja madiwani hao walisema wanatambua uwepo wa Kamati ya Taifa  moja
inayoongozwa na Katibu Mkuu ,na Baraza Kuu la Uongozi mmoja ambalo wajumbe
wake wamepatikana kupitia Mkutano Mkuu wa Taifa wa Uchaguzi uliofanyika
Juni ,2014 Blue Pearl Hotel jijini Dar es Salaam.

Madiwani hao wote wameunga mkonom na kuheshimu hatua zilizochukuliwa na Baraza Kuu
hilo halali la CUF kuwa simamisha  na Kuwavua uanachama Wanachama Wote ambao
wameshiriki kukiuka Kanuni na Maadili ya Chama chao kwa mujibu wa Katiba.


wamesma kuwa wanawapongeza viongozi wao wa Kitaifa wakiwemo Wajumbe  wa Kamati ya
Utendaji ya Taifa ,wakurugenzi  na Manaibu Wakurugenzi, Wajumbe  wa Baraza Kuu la
Taifa  na Wabunge wao  ambao wamekuwa  mstari wa mbele kusimamia Chama katika kipindi
hiki cha mpito wa changamoto zinazowakabili na pongezi za pekee wamedai zimfikie
Jemedari wao Katibu Mkuu  wa Chama Maalim Seif.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...