Skip to main content

Wayne Rooney aiongoza Everton kuilaza Gor Mahia Tanzania


Wayne Rooney ameiongoza klabu yake mpya Everton kuishinda klabu ya Kenya ya Gor kwa kufunga bao zuri katika mechi ya kirafiki iliodhaminiwa na kampuni ya Sportpesa.
Mchezaji huyo alirudi katika klabu yake ya utotoni baada ya kuichezea Manchester united kwa takriban miaka 13.
Rooney aliiweka kifua mbele Everton kunako dakika ya 36 ya kipindi cha kwanza ambacho Gor Mahia ilionekana kucheza vizuri kuwashinda wageni hao.
Hatahivyo Gor Mahia haikusubiri kwani baada ya mpira kuanzishwa katikati walipata kona iliopigwa na George Odhiambo ambapo ilimpata JacquesTuyisenge katika eneo zuri na hivyobasi kusawazisha kupitia kichwa kikali ambacho kipa wa Everton alishindwa kuokoa.
Kufikia mwisho wa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa na sare ya 1-1.
Timu zote mbili zilifanya mabadiliko huku Rooney akitolewa baada ya kipindi cha kwanza
Bao la Rooney lilirudisha kumbukumbu za bao lake dhidi ya Arsenal akiichezea Everton.
Katika kipindi cha pili Everton ilionekana kuimarika zaidi huku ikitishia lango la Gor Mahia mara kwa mara.

Na ilipofika dakika ya 81 kipindi cha lala salama Everton ilijiweka kifua mbele kupitia kiungo wa kati Kieran Dowell aliyewageuza mabeki wa Gor Mahia na kucheka na wavu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.