Skip to main content

Mbunge wa Temeke ahukumiwa kwa kuendesha gari bila Bima na kutotii amri ya Polisi


Mbunge wa Temeke Mhe. Abdalah Mtolea jana alipandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashataka mawili ikiwemo la kuendesha gari bila ya bima kinyume na sheria za nchi.

Mbunge huyo kwa tiketi ya chama cha wanachi CUF, alisomewa mashtaka yake mbele ya hakimu mkazi Mhe. Eliarusia Nassatri mbale ya mwendesha mashtaka wa serikali Joseph Maugo ambaye aliiambia mahakama hiyo kuwa katika kosa la kwanza Mbunge huyo anadaiwa kuendesha gari ambalo halina bima

Maelezo ya kosa hilo yanadai kuwa, Julai 19 mwaka huu katika barabara ya Kilwa eneo la Bendera tatu, mshtakiwa alikuwa akiendesha gari lenye namba za usajili T 672 BNV Toyota Mark 2 likiwa halina bima.

Katika kosa la pili, mshatakiwa Mtolea anadaiwa kulitenda muda na eneo la kwanza alipotenda kosa la kwanza kwakushindwa kutekeleza agizo la ofisa Polisi mwenye namba F 818 Kopla Robati la kutakiwa kupeleka gari hilo katika kituo cha Polisi Kilwa Road lakini mshtakiwa alikaidi agizo hilo na kuelekea maeneo ya katikati ya jiji.

Baada ya kusomewa makosa hayo, Mtolea alikiri makosa yote ambapo alisomewa maelezo ya awali (PH) kisha kuhukumiwa kulipa faini ya Pound 100 na Tsh. 30,000.

Katika hukumu yake, Hakimu Nassary alisema, kosa la kwanza mshtakiwa anatakiwa kulipa Pound 100 sawa na Tsh. 291,700 au kifungo cha miezi 6 jela wakati kosa la pili ni kulipa faini ya Tsh. 30,000 au kifungo cha miaka 2 jela ambapo baada ya kutolewa hukumu hiyo, Wakili wa utetezi Hashim Mziray aliieleza kuwa mteja wake atalipa faini hiyo.Source http://www.mtaakwamtaa.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...