Skip to main content

Banda huyoooo Ifahamu zaidi Baroka FC

 


Na Salym Juma, Arusha
Nikinukuu kauli ya Abdi Banda katika maandishi kwamba, wachezaji wajitume na wanatakiwa kuwa makini na nafasi, hasa zinapotokea nafasi za kutoka kwenda kucheza nje ya nchi na wasiangalie nyuma. Kauli ya Beki huyu wa zamani wa Simba inawagusa Wachezaji ambao wanaamini Simba na Yanga ndio sehemu pekee ya mafanikio ambayo wanapaswa kufika. Ukweli ni kwamba hata hao akina Samatta na Ulimwengu walifika hapo walipo baada ya kuondoka Tanzania na kwenda kujaribu bahati zao nje.
Kufanya vizuri kwa Abdi Banda msimu uliopita kumemfanya mchezaji huyu kupata nafasi ya kusajiliwa na timu iliyoshiriki ligi kuu ya South Afrika msimu uliomalizika. Banda ambaye tayari alishasaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo wakati akiwa kwenye michuano ya COSAFA Cup 2017 iliyofanyika South Afrika anakwenda kucheza kwenye ardhi ya Mandela na kama akikitumia vyema kipaji chake huenda akapata shavu kwenye vilabu vikubwa vya South Afrika.
Banda ni aina ya wachezaji ambao hupenda sana kuuchezea mpira na mara nyingi hujaribu kupiga mashuti ya mbali langoni mwa mpinzani. Kitu cha msingi cha kuzingatia ni nidhamu kwani wachezaji wetu wanapaswa kuiga nidhamu ya akina Samatta au Himid Mao. Japo Banda amekuwa na nidhamu yenye mashaka na makosa ya hapa na pale ila naamini anao muda mzuri wa kurekebisha haya kabla ya kuanza kukipiga klabuni.
Watanzania wengi wanatamani kuijua kwa undani timu hii anayokwenda mchezaji huyu wa zamani wa Simba na Taifa Stars kwa sasa.
Baroka F.C ni klabu iliyopo South African inayotokea Ga-Mphahlele karibu na Polokwane, Limpopo. Timu hii ni miongoni mwa timu zilizoanzishwa hivi karibuni na imekuwa na mwenendo wa kuridhisha kadiri siku zinavyosonga. Tangu mwaka 2007 ilipoanzishwa ilijitahidi kupanda daraja kwenye msimu wake wa kwanza ila mechi ya mwisho kabisa iliwakwamisha baada ya kutoka sare na Thanda Royal Zulu. Baroka ni Timu changa ambayo inaweza kuwa na uhai mrefu huko tunapoelekea.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.