Skip to main content

Laurence Mabawa afunguka

MDAU amejitokeza kuiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA)
kuwachukulia hatua kali za kisheria wote wanaotumia mitandao ya kijamii kwa
nia mbaya .

Mbali na suala hilo kuwa limezungumzwa mara kwa mara BW.Laurence Mabawa
amewaambia waandishi wa habari jana Dar es Salaam kuwa watu wamekuwa
wakitumia mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari wakidai kuwa
watu wanaojitokeza kumpongeza Mh.Rais John Pombe Magufuli kuwa
wanajipendekeza jambo ambalo si kweli.

Alisema kuwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania
ya mwaka 1977 Ibara ya 18 inatoa haki kwa kila mtanzania kutoa
maoni yake bila kuvunja katiba.

"Kwa hiyo kitendo cha Raia yeyote kushambulia kwa maneno makali na
yakuhudhi kwa uamuzi wake wa kutoa maoni kwa kile anachokiona hakikubariki
hata kidogo,"alisema Mabawa.

Alisema kama jinsi watanzania na wasio watanzania tunavyo tambua
kazi kubwa na nzuri ya kutetea na kupigania rasilimali za taifa
inayofanywa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya
Rais Dkt.Magufuli Rais wa wanyonge na maskini.

Hata hivyo kama Mtanzania Mzalendo na Kada wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) nimeamuha kuchukua jukumu na kuanzisha kampeni ya Magufuli
Baki yenye lengo la kumpongeza Rais kwa kazi anayowafanyia watanzania
bila kujali itikadi zao.


Laurence alisema Magufuli Baki ni kampeni itakayohusisha mikoa yote
Tanzania kwa nia ya kuwafikia wanafunzi na wananchi kwa kufanya
mikutano yenye nia njema ya kumwombea Mh.Rais Magufuli habaki
katika misimamo yake ya kutetea wananchi wanyonge na maskini.


Aliedelea kueleza kuwa kampeni hiyo itawapa fursa wananchi
kutoa maoni kupitia mikutano atakayoifanya ambapo wataweza
kutoa maoni yao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...