Skip to main content

Laurence Mabawa afunguka

MDAU amejitokeza kuiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA)
kuwachukulia hatua kali za kisheria wote wanaotumia mitandao ya kijamii kwa
nia mbaya .

Mbali na suala hilo kuwa limezungumzwa mara kwa mara BW.Laurence Mabawa
amewaambia waandishi wa habari jana Dar es Salaam kuwa watu wamekuwa
wakitumia mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari wakidai kuwa
watu wanaojitokeza kumpongeza Mh.Rais John Pombe Magufuli kuwa
wanajipendekeza jambo ambalo si kweli.

Alisema kuwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania
ya mwaka 1977 Ibara ya 18 inatoa haki kwa kila mtanzania kutoa
maoni yake bila kuvunja katiba.

"Kwa hiyo kitendo cha Raia yeyote kushambulia kwa maneno makali na
yakuhudhi kwa uamuzi wake wa kutoa maoni kwa kile anachokiona hakikubariki
hata kidogo,"alisema Mabawa.

Alisema kama jinsi watanzania na wasio watanzania tunavyo tambua
kazi kubwa na nzuri ya kutetea na kupigania rasilimali za taifa
inayofanywa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya
Rais Dkt.Magufuli Rais wa wanyonge na maskini.

Hata hivyo kama Mtanzania Mzalendo na Kada wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) nimeamuha kuchukua jukumu na kuanzisha kampeni ya Magufuli
Baki yenye lengo la kumpongeza Rais kwa kazi anayowafanyia watanzania
bila kujali itikadi zao.


Laurence alisema Magufuli Baki ni kampeni itakayohusisha mikoa yote
Tanzania kwa nia ya kuwafikia wanafunzi na wananchi kwa kufanya
mikutano yenye nia njema ya kumwombea Mh.Rais Magufuli habaki
katika misimamo yake ya kutetea wananchi wanyonge na maskini.


Aliedelea kueleza kuwa kampeni hiyo itawapa fursa wananchi
kutoa maoni kupitia mikutano atakayoifanya ambapo wataweza
kutoa maoni yao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.