Skip to main content

Laurence Mabawa afunguka

MDAU amejitokeza kuiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA)
kuwachukulia hatua kali za kisheria wote wanaotumia mitandao ya kijamii kwa
nia mbaya .

Mbali na suala hilo kuwa limezungumzwa mara kwa mara BW.Laurence Mabawa
amewaambia waandishi wa habari jana Dar es Salaam kuwa watu wamekuwa
wakitumia mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari wakidai kuwa
watu wanaojitokeza kumpongeza Mh.Rais John Pombe Magufuli kuwa
wanajipendekeza jambo ambalo si kweli.

Alisema kuwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania
ya mwaka 1977 Ibara ya 18 inatoa haki kwa kila mtanzania kutoa
maoni yake bila kuvunja katiba.

"Kwa hiyo kitendo cha Raia yeyote kushambulia kwa maneno makali na
yakuhudhi kwa uamuzi wake wa kutoa maoni kwa kile anachokiona hakikubariki
hata kidogo,"alisema Mabawa.

Alisema kama jinsi watanzania na wasio watanzania tunavyo tambua
kazi kubwa na nzuri ya kutetea na kupigania rasilimali za taifa
inayofanywa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya
Rais Dkt.Magufuli Rais wa wanyonge na maskini.

Hata hivyo kama Mtanzania Mzalendo na Kada wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) nimeamuha kuchukua jukumu na kuanzisha kampeni ya Magufuli
Baki yenye lengo la kumpongeza Rais kwa kazi anayowafanyia watanzania
bila kujali itikadi zao.


Laurence alisema Magufuli Baki ni kampeni itakayohusisha mikoa yote
Tanzania kwa nia ya kuwafikia wanafunzi na wananchi kwa kufanya
mikutano yenye nia njema ya kumwombea Mh.Rais Magufuli habaki
katika misimamo yake ya kutetea wananchi wanyonge na maskini.


Aliedelea kueleza kuwa kampeni hiyo itawapa fursa wananchi
kutoa maoni kupitia mikutano atakayoifanya ambapo wataweza
kutoa maoni yao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...