Skip to main content

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAILILIA AMREF


Na Carlos Nichombe

Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo ameliombaShirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kujenga ofisi Visiwani Zanzibar ili kuisaidia Serikali katika kupambana na tatizo la vifo vya mama na mtoto.
Kombo aliyasema hayo jana Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wadau mbambali wa Masuala ya Afya waliojitokeza katika maadhimisho ya miaka 60 ya uanzishwaji wa Shirika la AMREF.
Alisema AMREF wamekuwa na mchango mkubwa nchini Tanzania hususani katika ukomeshaji vitendo vya ukeketaji kwa wanawake katika maeneo mbalimbali hivyo kuwaomba waigeukie na Zanzibar kwa ajili ya utatuzi wa masuala mbalimbali yanayowasumbua.
Alieleza kuwa jukumu la kutokomeza vifo vya mama na mtoto ni la jamii yote hivyo kama shirika hilo litajenga ofisi zao visiwani Zanzibar litaongeza nguvu kwa Serikali ambayo 
imekuwa ikitafuta wadau mbalimbali katika kutatua matatizo hayo.

“Najua mmefanya juhudi nyingi ambazo kila mwenye macho ameziona na mie naomba niwaeleze kilio chetu kama Wazanzibar mje mjenge ofisi na kule kwetu kwa sababu 
tunatambua mtakuwa mnaanzisha program mbalimbali ambazo zitasaidia kuondoa tatizo hili linalosumbua sana visiwa vya Zanzibar,” alidai Kombo.

Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu Kombo alisema AMREF imekuwa ni msaada mkubwa kwa Taifa la Tanzania kwani imekuwa ikiendesha na kuanzisha program mbalimbali ambazo zimesaidia kupunguza uhaba wa wataalamu wa afya.
“Nataka niwaambie kwamba Serikali inatambua mchango wenu na tupo tayari kushirikiana nanyi kwa lolote lile ili mradi mboreshe zaidi huduma za afya ambazo mnazitoa kwa watanzania”
“Lakini pia naomba watanzania watambue kwamba hili Shirika limekuwa msaada mkubwa sana kwetu kwenye masuala ya afya kwani wametusaidia kuingia katika maeneo ya pembezoni zaidi mwa nchi yetu hususani vijijini ambako kulikuwa kumesahaulika kwa kipindi kirefu,” alisema
Kombo.

Kwa upande wake Mkurugenzi mkazi wa shirika hilo,dkt. florence Temu alisema wataendelea kutoa huuduma mbalimbali za Afya nchini ikiwemo utoaji wa elimu ya madhara ya ukeketaji kwa jamii hususani Mangariba, wazee wa vijiji pamoja na wanawake wanaoishi katika maeneo 
ambayo yamekithiri zaidi kwa vitendo hivyo.

Alidai kuwa wamepata mafanikio makubwa ya kupambana na tatizo la ukeketaji pamoja na kupambana na ugonjwa wa Fistula kwani watu wengi wamekuwa na uelewa wa masuala 
hayo ambayo yalikuwa yanaisumbua zaidi Serikali.

“Ili kufanikiwa katika suala hili ni lazima tuishirikishe sana jamii ,kwani tusipofanya hivi tutakua tunakaribisha matatizoyanayowapata wasichana wanaofanyiwa ukeketeji ikiwemo kumwaga damu pamoja na kupewa ndoa za mapema”alisema Florence

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...