Skip to main content

CHAKUA:Wajajuu kuhusu kusua sua kwa mamlaka husika katika sekta ya usafirishaji

CHAMA cha kutetea Abiria nchini (CHAKUA) kimeeleza kusua sua kwa mamlaka
husika katika sekta ya usafirishaji wa abiria .

Chakua kimetaja changamoto zinazo wakabiri kutokana na kutosikilizwa kilio
chao cha muda mrefu dhidi ya ukiukwaji wa makusudi wa taratibu  za utoaji
wa huduma bora za usafirishaji kwenye Mabasi,Feri na Treni



Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Mwenyekiti wa Chama
hicho Taifa Hassan Mchajama alisema kuwa wamekuwa wakipambana juu ya jitiada
za kuondoa changamoto alizozitaja na kuwa mstari wa mbele kuelimisha Umma(abiria),
na kuzungumza na mamlakahusika nje na ndani.

Alisema wamekuwa wakieelezea juu ya suala zima la urasimu mkubwa katika ukataji
na ununuzi  tiketi za basi ambapo mfumo uliopo unamlazimisha abiria kupitia
kwa wapigadebe na mawakala ambao kazi yao kubwa imekuwa ni kulangua tiketi,"
alisema Mchajama.

"Hali nyingine inayojitokeza ni kusababisha upotevu wa mizigo utapeli na kutoa
taarifa za uongo kwa abiria ambapo katika mazingira kama hayo sisi kama CHAKUA
kama watetezi  wa haki za abiria hatuwezi kuvumilia  kunyamaza wakati sehemu
kubwa  ya abiria wakizidi kutapeliwa,"alisema Mchajama.


Mchajama alisema kuwa hali ya wapiga debe imekuwa ikikosesha uhuru abiria
kuchagua huduma bora wanayotaka  ndio maana wanaendelea kuikumbusha serikali
na mamlaka husika kuchukua hatua stahiki ili kuondoa kabisa mfano huo kiza
mani kandamizi.


Alisema hivi karibuni serikali kupitia Mamlaka  ya Mapato Tanzani (TRA) ilitoa
matumaini ya kuanza kwa mfumo wa ukataji wa tiketi  kwa njia ya kielektroniki
ambapo CHAKUA walifurahia  sana  kuunga mkono jitihada hizo za serikali .


Aidha kiongozi huo alisema kuwa wao kama wadau muhimu katika sekta
ya usafirishaji walialikwa na TRA  katika vikao vyao kujadili namna bora
ya kutekelezauanzishwaji wa mfumo huo ambapo katika kikao cha Kamati Maalum
ya Kkufanikisha Uanzishwaji wa Mfumo Mpya wa Kielektironiki unaowahusisha TRA,
TABOA,SUMATRA,cHAKUA,JESHI LA POLISI cha Mei 30 mwaka huu waliweza
kupitisha na kukubaliana juu ya mfumo huo.


Pia makubaliano hayo walikubaliana waanze rasmi ambapo watoa huduma walitakiwa
kuanza kujiandaa kwa kuingiza  taarifa kwenye mfumo wa E-Ticketing uliounganishwa
na mfumo wa TRA wa EFD.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.