Skip to main content

CHAKUA:Wajajuu kuhusu kusua sua kwa mamlaka husika katika sekta ya usafirishaji

CHAMA cha kutetea Abiria nchini (CHAKUA) kimeeleza kusua sua kwa mamlaka
husika katika sekta ya usafirishaji wa abiria .

Chakua kimetaja changamoto zinazo wakabiri kutokana na kutosikilizwa kilio
chao cha muda mrefu dhidi ya ukiukwaji wa makusudi wa taratibu  za utoaji
wa huduma bora za usafirishaji kwenye Mabasi,Feri na Treni



Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Mwenyekiti wa Chama
hicho Taifa Hassan Mchajama alisema kuwa wamekuwa wakipambana juu ya jitiada
za kuondoa changamoto alizozitaja na kuwa mstari wa mbele kuelimisha Umma(abiria),
na kuzungumza na mamlakahusika nje na ndani.

Alisema wamekuwa wakieelezea juu ya suala zima la urasimu mkubwa katika ukataji
na ununuzi  tiketi za basi ambapo mfumo uliopo unamlazimisha abiria kupitia
kwa wapigadebe na mawakala ambao kazi yao kubwa imekuwa ni kulangua tiketi,"
alisema Mchajama.

"Hali nyingine inayojitokeza ni kusababisha upotevu wa mizigo utapeli na kutoa
taarifa za uongo kwa abiria ambapo katika mazingira kama hayo sisi kama CHAKUA
kama watetezi  wa haki za abiria hatuwezi kuvumilia  kunyamaza wakati sehemu
kubwa  ya abiria wakizidi kutapeliwa,"alisema Mchajama.


Mchajama alisema kuwa hali ya wapiga debe imekuwa ikikosesha uhuru abiria
kuchagua huduma bora wanayotaka  ndio maana wanaendelea kuikumbusha serikali
na mamlaka husika kuchukua hatua stahiki ili kuondoa kabisa mfano huo kiza
mani kandamizi.


Alisema hivi karibuni serikali kupitia Mamlaka  ya Mapato Tanzani (TRA) ilitoa
matumaini ya kuanza kwa mfumo wa ukataji wa tiketi  kwa njia ya kielektroniki
ambapo CHAKUA walifurahia  sana  kuunga mkono jitihada hizo za serikali .


Aidha kiongozi huo alisema kuwa wao kama wadau muhimu katika sekta
ya usafirishaji walialikwa na TRA  katika vikao vyao kujadili namna bora
ya kutekelezauanzishwaji wa mfumo huo ambapo katika kikao cha Kamati Maalum
ya Kkufanikisha Uanzishwaji wa Mfumo Mpya wa Kielektironiki unaowahusisha TRA,
TABOA,SUMATRA,cHAKUA,JESHI LA POLISI cha Mei 30 mwaka huu waliweza
kupitisha na kukubaliana juu ya mfumo huo.


Pia makubaliano hayo walikubaliana waanze rasmi ambapo watoa huduma walitakiwa
kuanza kujiandaa kwa kuingiza  taarifa kwenye mfumo wa E-Ticketing uliounganishwa
na mfumo wa TRA wa EFD.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...