Skip to main content

Alhaj Suleiman Seif:Masjid Ridhwaa kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini

 Pichani Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya Masjid Ridhwan Alhaj Suleiman
Seif akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu mipango ya Ujenzi
wa Chuo Kikuu cha Kiislam kinachojengwa katika eneo hilo la kinondoni.



BODI ya wadhamini ya Masjid Ridhwaa (RTMR) Mkwajuni Kinondoni
jijini Dar es Salaam kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini
kitakachowezesha wahitimu kujiajili na kuajiliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana Mwenyekiti wa Bodi ya
Wadhamini Alhaj Suleiman Seif Nassor alisema ujenzi huo unakadiriwa kuwa
wa ghorafa tano ambao utagharimu shilingi bilioni 2 za kitanzania
pia alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe
Magufuri kwa kazi nzuri katika kipindi kisichozidi miaka 2.

Alhaj  Seif alisema  Chuo hicho kinatarajia kutoa wahitimu wenye sifa ya
kujiajiri na kutoa ajira za kwanza baada ya kuhitimu masomo yao hususani
wanafunzi wa fani ya uandishi wa habari.

"Tumefurahishwa sana kwa Rais Magufuli kwa namna alivyofanikiwa kuinyoosha
nchi Umma,kuwaokoa vijana wengi waliojiingiza katika biashara ya madawa ya
kulevya ,'alisema  Alhaj  Seif.

Alisema kupitia taasisi ya (MUTA)imejipanga kuajili walimu wasiopungua 42, na
madhumuni yake ni kujenga misikiti,vituo vya elimu,vituo vya afya na kufanya
miradi ya uchumi kwa kuzingatia misingi ya kiislam pamoja na kufanya
mambo yote ya maendeleo.

Aidha azma kubwa ya MUTA ni kuendeleza vijana kitaaluma na kisayansi kwa
kuzingatia sera ya serikali ya awamu ya tano ya kujenga Tanzania ya viwanda
vya kati.

Pia Alhaj Seif alisema wameitaka serikali ya Rais Magufuli kubaini na kubadili
muundo wa shahada uliopo sasa kwa kuandaa watafuta ajira serikalini na kwenye
makampuni binafsi badala yake kuandaa masomo yatakayo waandaa kujiajili tangu
wakiwa katika mwaka wa pili wa masomo ya kidigitali.

Tumepania kutoa mchango kwa kuitikia wito wa Rais Magufuli wa kuanzisha
viwanda vya kati kwa kuweka wasomi wenye mwelekeo wa kidigitali kwa mafunzo
na vitendo zaidi ili kuondoa ugonjwa sugu kwa wahitimu kutafuta kazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...