Skip to main content

Alhaj Suleiman Seif:Masjid Ridhwaa kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini

 Pichani Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya Masjid Ridhwan Alhaj Suleiman
Seif akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu mipango ya Ujenzi
wa Chuo Kikuu cha Kiislam kinachojengwa katika eneo hilo la kinondoni.



BODI ya wadhamini ya Masjid Ridhwaa (RTMR) Mkwajuni Kinondoni
jijini Dar es Salaam kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini
kitakachowezesha wahitimu kujiajili na kuajiliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana Mwenyekiti wa Bodi ya
Wadhamini Alhaj Suleiman Seif Nassor alisema ujenzi huo unakadiriwa kuwa
wa ghorafa tano ambao utagharimu shilingi bilioni 2 za kitanzania
pia alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe
Magufuri kwa kazi nzuri katika kipindi kisichozidi miaka 2.

Alhaj  Seif alisema  Chuo hicho kinatarajia kutoa wahitimu wenye sifa ya
kujiajiri na kutoa ajira za kwanza baada ya kuhitimu masomo yao hususani
wanafunzi wa fani ya uandishi wa habari.

"Tumefurahishwa sana kwa Rais Magufuli kwa namna alivyofanikiwa kuinyoosha
nchi Umma,kuwaokoa vijana wengi waliojiingiza katika biashara ya madawa ya
kulevya ,'alisema  Alhaj  Seif.

Alisema kupitia taasisi ya (MUTA)imejipanga kuajili walimu wasiopungua 42, na
madhumuni yake ni kujenga misikiti,vituo vya elimu,vituo vya afya na kufanya
miradi ya uchumi kwa kuzingatia misingi ya kiislam pamoja na kufanya
mambo yote ya maendeleo.

Aidha azma kubwa ya MUTA ni kuendeleza vijana kitaaluma na kisayansi kwa
kuzingatia sera ya serikali ya awamu ya tano ya kujenga Tanzania ya viwanda
vya kati.

Pia Alhaj Seif alisema wameitaka serikali ya Rais Magufuli kubaini na kubadili
muundo wa shahada uliopo sasa kwa kuandaa watafuta ajira serikalini na kwenye
makampuni binafsi badala yake kuandaa masomo yatakayo waandaa kujiajili tangu
wakiwa katika mwaka wa pili wa masomo ya kidigitali.

Tumepania kutoa mchango kwa kuitikia wito wa Rais Magufuli wa kuanzisha
viwanda vya kati kwa kuweka wasomi wenye mwelekeo wa kidigitali kwa mafunzo
na vitendo zaidi ili kuondoa ugonjwa sugu kwa wahitimu kutafuta kazi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.