Skip to main content

Alhaj Suleiman Seif:Masjid Ridhwaa kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini

 Pichani Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya Masjid Ridhwan Alhaj Suleiman
Seif akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu mipango ya Ujenzi
wa Chuo Kikuu cha Kiislam kinachojengwa katika eneo hilo la kinondoni.



BODI ya wadhamini ya Masjid Ridhwaa (RTMR) Mkwajuni Kinondoni
jijini Dar es Salaam kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini
kitakachowezesha wahitimu kujiajili na kuajiliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana Mwenyekiti wa Bodi ya
Wadhamini Alhaj Suleiman Seif Nassor alisema ujenzi huo unakadiriwa kuwa
wa ghorafa tano ambao utagharimu shilingi bilioni 2 za kitanzania
pia alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe
Magufuri kwa kazi nzuri katika kipindi kisichozidi miaka 2.

Alhaj  Seif alisema  Chuo hicho kinatarajia kutoa wahitimu wenye sifa ya
kujiajiri na kutoa ajira za kwanza baada ya kuhitimu masomo yao hususani
wanafunzi wa fani ya uandishi wa habari.

"Tumefurahishwa sana kwa Rais Magufuli kwa namna alivyofanikiwa kuinyoosha
nchi Umma,kuwaokoa vijana wengi waliojiingiza katika biashara ya madawa ya
kulevya ,'alisema  Alhaj  Seif.

Alisema kupitia taasisi ya (MUTA)imejipanga kuajili walimu wasiopungua 42, na
madhumuni yake ni kujenga misikiti,vituo vya elimu,vituo vya afya na kufanya
miradi ya uchumi kwa kuzingatia misingi ya kiislam pamoja na kufanya
mambo yote ya maendeleo.

Aidha azma kubwa ya MUTA ni kuendeleza vijana kitaaluma na kisayansi kwa
kuzingatia sera ya serikali ya awamu ya tano ya kujenga Tanzania ya viwanda
vya kati.

Pia Alhaj Seif alisema wameitaka serikali ya Rais Magufuli kubaini na kubadili
muundo wa shahada uliopo sasa kwa kuandaa watafuta ajira serikalini na kwenye
makampuni binafsi badala yake kuandaa masomo yatakayo waandaa kujiajili tangu
wakiwa katika mwaka wa pili wa masomo ya kidigitali.

Tumepania kutoa mchango kwa kuitikia wito wa Rais Magufuli wa kuanzisha
viwanda vya kati kwa kuweka wasomi wenye mwelekeo wa kidigitali kwa mafunzo
na vitendo zaidi ili kuondoa ugonjwa sugu kwa wahitimu kutafuta kazi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...