Skip to main content

Alhaj Suleiman Seif:Masjid Ridhwaa kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini

 Pichani Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya Masjid Ridhwan Alhaj Suleiman
Seif akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu mipango ya Ujenzi
wa Chuo Kikuu cha Kiislam kinachojengwa katika eneo hilo la kinondoni.



BODI ya wadhamini ya Masjid Ridhwaa (RTMR) Mkwajuni Kinondoni
jijini Dar es Salaam kuanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam nchini
kitakachowezesha wahitimu kujiajili na kuajiliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana Mwenyekiti wa Bodi ya
Wadhamini Alhaj Suleiman Seif Nassor alisema ujenzi huo unakadiriwa kuwa
wa ghorafa tano ambao utagharimu shilingi bilioni 2 za kitanzania
pia alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe
Magufuri kwa kazi nzuri katika kipindi kisichozidi miaka 2.

Alhaj  Seif alisema  Chuo hicho kinatarajia kutoa wahitimu wenye sifa ya
kujiajiri na kutoa ajira za kwanza baada ya kuhitimu masomo yao hususani
wanafunzi wa fani ya uandishi wa habari.

"Tumefurahishwa sana kwa Rais Magufuli kwa namna alivyofanikiwa kuinyoosha
nchi Umma,kuwaokoa vijana wengi waliojiingiza katika biashara ya madawa ya
kulevya ,'alisema  Alhaj  Seif.

Alisema kupitia taasisi ya (MUTA)imejipanga kuajili walimu wasiopungua 42, na
madhumuni yake ni kujenga misikiti,vituo vya elimu,vituo vya afya na kufanya
miradi ya uchumi kwa kuzingatia misingi ya kiislam pamoja na kufanya
mambo yote ya maendeleo.

Aidha azma kubwa ya MUTA ni kuendeleza vijana kitaaluma na kisayansi kwa
kuzingatia sera ya serikali ya awamu ya tano ya kujenga Tanzania ya viwanda
vya kati.

Pia Alhaj Seif alisema wameitaka serikali ya Rais Magufuli kubaini na kubadili
muundo wa shahada uliopo sasa kwa kuandaa watafuta ajira serikalini na kwenye
makampuni binafsi badala yake kuandaa masomo yatakayo waandaa kujiajili tangu
wakiwa katika mwaka wa pili wa masomo ya kidigitali.

Tumepania kutoa mchango kwa kuitikia wito wa Rais Magufuli wa kuanzisha
viwanda vya kati kwa kuweka wasomi wenye mwelekeo wa kidigitali kwa mafunzo
na vitendo zaidi ili kuondoa ugonjwa sugu kwa wahitimu kutafuta kazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...