Skip to main content

Hapa Wenger hataki utani !!

Kinachofanywa na Ac Milan sokoni kwa sasa hakika ni fujo, inasemekana klabu hiyo ya nchini Italia sasa imehamishia majeshi yake kwa Alvaro Morata na wako tayari kuwapa Real Madrid £70 ili kumnunua.
Golikipa wa zamani wa klabu ya Manchester City Joe Hart anakaribia kukamilisha uhamisho wake kwenda West Ham na ripoti zinasema hii leo Hart atafanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na wagonga nyundo hao.
Katika kuonesha kwamba siku zake Chelsea zinakaribia kuisha, Diego Costa ameonekana akila raha kijijini kwao Brazil huku akiwa amevaa jezi ya timu yake ya zamani ya Atletico Madrid.
Manchester United wanakaribia kumsaini winga wa klabu ya Inter Millan Ivan Perisic ambapo inasemekana usajili wa winga huyo unaweza kukamilika mwishoni mwa wiki hii.
Baada ya Ross Barkley kutoswa katika safari ya Everton kuja Bongo sasa kiungo huyo yuko mbioni kuhamia Tottenham ambapo taarifa zinadai kwamba klabu ya Tottenham iko tayari kutuma ofa nono ili kumpata.
Kocha wa Arsenal anaonekana amedhamiria kufanya makubwa ambapo sasa yuko mbioni kutuma ofa mbili kumnunua mlinzi Virgil Van Dijik na mshambuliaji wa Celtic Moussa Dembele.
Ukiachana na usajili wa Dijik na Dembele inasemekana Arsenal wanakaribia kumnunua mlinzi wa Monaco Thomas Lemar ambaye thamani yake inatajwa kuwa £45m.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...