Skip to main content

Dakt Anneth Munga: Sekomu chuo pekee nchini kinachotoa taaaluma kwa watu wenye mahitaji maalumu




Dar es Salaam.Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa cha Mjini Lushoto Mkoani Tanga 
kimejidhatiti katika kutoa elimu bora kwa makundi yote katika fani mbali mbali 
zitolewazo na Chuo hicho.

Akizungumza na Mwandishi wa gazeti hili katika maadhimisho ya wiki ya vyuo vikuu
yaliyo kuwa yakiadhimishwa katika viwanja vya mnazi mmoja Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Dakt Anneth Munga Makamu Mkuu wa Chuo hicho amesema katika kuadhimisha miaka kumi,yakuanzishwa kwa chuo hicho,Chuo kimedhamiria kutoa elimu bora zaidi kwakuimarisha miundo mbinu yakusomea 
chuon hapo.

 “Ni miaka kumi tokea kuanzishwa kwa Chuo hiki,shabaha yetu ikiwa ni kutoa elimu bora ambayo 
inaendana na miundo mbinu bora ya kusomea hususani kwa wanafunzi wanao soma kozi ya watu wenye mahitaji maalumu,"alisema Dakt Anneth.

Dakt Anneth lisem kuw Sanjari na hilo chuo hicho ni chuo pekee nchini kinachotoa taaaluma kwa 
watu wenye mahitaji maalumu  hususani ,kwa watu wenye mahitaji maaalumu kusomea taaluma mbali mbali zitolewazo chuoni hapo pamoja na wao wao kusoma taaluma hiyo.

Ikilinganishwa na Vyuo vingine ambavyo hutoa elimu ya watu wenye mahitaji maalumu ambapo hutoa taaluma hiyo kwa watu ambao wanakwenda kuwahudumia watu wenye mahitaji maalumu.

Miongoni mwa uboreshaji miundombinu yakusomea ambayo imeboreshwa na ya kisasa zaidi ni moja ya jengo lakisasa lijulikanalo kama ghorofa la Benjamini Mkapa ambalo linavifaa vya kisasa vya kufundishia na rafiki kwa watu wenye mahitaji maalumu.

Maadhimisho hayo yatafikia kilele chake tarehe 28 Oktoba 2017,ambapo kwa sasa chuo hicho kinaadhimisha maadhimishohayo kila mwisho wa mwezi ikihuisha shughuli mbali mbali za kimazingira na kimaendeleo chuoni hapo na katika vituo vyake.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...