Skip to main content

Dakt Anneth Munga: Sekomu chuo pekee nchini kinachotoa taaaluma kwa watu wenye mahitaji maalumu




Dar es Salaam.Chuo Kikuu Cha Sebastian Kolowa cha Mjini Lushoto Mkoani Tanga 
kimejidhatiti katika kutoa elimu bora kwa makundi yote katika fani mbali mbali 
zitolewazo na Chuo hicho.

Akizungumza na Mwandishi wa gazeti hili katika maadhimisho ya wiki ya vyuo vikuu
yaliyo kuwa yakiadhimishwa katika viwanja vya mnazi mmoja Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Dakt Anneth Munga Makamu Mkuu wa Chuo hicho amesema katika kuadhimisha miaka kumi,yakuanzishwa kwa chuo hicho,Chuo kimedhamiria kutoa elimu bora zaidi kwakuimarisha miundo mbinu yakusomea 
chuon hapo.

 “Ni miaka kumi tokea kuanzishwa kwa Chuo hiki,shabaha yetu ikiwa ni kutoa elimu bora ambayo 
inaendana na miundo mbinu bora ya kusomea hususani kwa wanafunzi wanao soma kozi ya watu wenye mahitaji maalumu,"alisema Dakt Anneth.

Dakt Anneth lisem kuw Sanjari na hilo chuo hicho ni chuo pekee nchini kinachotoa taaaluma kwa 
watu wenye mahitaji maalumu  hususani ,kwa watu wenye mahitaji maaalumu kusomea taaluma mbali mbali zitolewazo chuoni hapo pamoja na wao wao kusoma taaluma hiyo.

Ikilinganishwa na Vyuo vingine ambavyo hutoa elimu ya watu wenye mahitaji maalumu ambapo hutoa taaluma hiyo kwa watu ambao wanakwenda kuwahudumia watu wenye mahitaji maalumu.

Miongoni mwa uboreshaji miundombinu yakusomea ambayo imeboreshwa na ya kisasa zaidi ni moja ya jengo lakisasa lijulikanalo kama ghorofa la Benjamini Mkapa ambalo linavifaa vya kisasa vya kufundishia na rafiki kwa watu wenye mahitaji maalumu.

Maadhimisho hayo yatafikia kilele chake tarehe 28 Oktoba 2017,ambapo kwa sasa chuo hicho kinaadhimisha maadhimishohayo kila mwisho wa mwezi ikihuisha shughuli mbali mbali za kimazingira na kimaendeleo chuoni hapo na katika vituo vyake.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...