Skip to main content

Oh! Oh! Hata Obama Alivikubali Vyuo Vya Maendeleo Ya Wananchi..!

 

Image may contain: 2 people, people standing and outdoor
Image may contain: 1 person, smiling, outdoor
- Folk Development College ( FDC)
Tanzania viko 55. Mwalimu Julius Nyerere alikuwa muasisi wa vyuo hivi baada ya kufanya ziara nchini Sweden na kutembelea moja ya vyuo hivyo.
Ni Nordic idea ambayo inafaa katika mazingira yetu pia. Falsafa kuu ya vyuo hivi ni kumpa nafasi mwananchi kujifunza katika mazingira yake na kwa kuanzia kutokana na uzoefu wake.
Ni hata kama mwananchi huyu ameishia darasa la saba, kukatishwa masomo yake kwa sababu moja au nyingine, au hakubahatika kabisa kwenda shule.
Na tunaposema tunataka kuingia kwenye uchumi wa viwanda, basi, tunawahitaji pia mafundi mchundo. Ni vyuo kama hivi vinavyoweza kuzalisha vijana kama hao kwa wingi. Ni bahati mbaya kuwa umuhimu wa vyuo ulikuwa bado haujafahamika kwa watunga sera wetu wengi. Serikali ya Awamu ya Tano imeonyesha kuvitambua vyuo hivi na jukumu lake katika jamii.
Itakumbukwa, Mei , 2016, Rais Barack Obama aliwaalika mawaziri wa Elimu kutoka nchi za Nordic na katika hotuba yake alisifu wazo la Folk High Schools kwa kusema...
"And many of our Nordic friends are familiar with the great Danish pastor and philosopher Grundtvig. And among other causes, he championed the idea of the folk school — education that was not just made available to the elite but for the many; training that prepared a person for active citizenship that improves society. Over time, the folk school movement spread, including here to the United States. And one of those schools was in the state of Tennessee — it was called the Highlander Folk School."- Barack Obama

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...