Skip to main content

Oh! Oh! Hata Obama Alivikubali Vyuo Vya Maendeleo Ya Wananchi..!

 

Image may contain: 2 people, people standing and outdoor
Image may contain: 1 person, smiling, outdoor
- Folk Development College ( FDC)
Tanzania viko 55. Mwalimu Julius Nyerere alikuwa muasisi wa vyuo hivi baada ya kufanya ziara nchini Sweden na kutembelea moja ya vyuo hivyo.
Ni Nordic idea ambayo inafaa katika mazingira yetu pia. Falsafa kuu ya vyuo hivi ni kumpa nafasi mwananchi kujifunza katika mazingira yake na kwa kuanzia kutokana na uzoefu wake.
Ni hata kama mwananchi huyu ameishia darasa la saba, kukatishwa masomo yake kwa sababu moja au nyingine, au hakubahatika kabisa kwenda shule.
Na tunaposema tunataka kuingia kwenye uchumi wa viwanda, basi, tunawahitaji pia mafundi mchundo. Ni vyuo kama hivi vinavyoweza kuzalisha vijana kama hao kwa wingi. Ni bahati mbaya kuwa umuhimu wa vyuo ulikuwa bado haujafahamika kwa watunga sera wetu wengi. Serikali ya Awamu ya Tano imeonyesha kuvitambua vyuo hivi na jukumu lake katika jamii.
Itakumbukwa, Mei , 2016, Rais Barack Obama aliwaalika mawaziri wa Elimu kutoka nchi za Nordic na katika hotuba yake alisifu wazo la Folk High Schools kwa kusema...
"And many of our Nordic friends are familiar with the great Danish pastor and philosopher Grundtvig. And among other causes, he championed the idea of the folk school — education that was not just made available to the elite but for the many; training that prepared a person for active citizenship that improves society. Over time, the folk school movement spread, including here to the United States. And one of those schools was in the state of Tennessee — it was called the Highlander Folk School."- Barack Obama

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.