Skip to main content

Sporah Luhende Ndiye Mshindi wa Tarent Miss Dar City Center, 2016

Miss Dar city center Talent ilivyofana jana

6-001
IMG_6721-001
IMG_6840-001
IMG_6841-001
IMG_6843-001
IMG_6847-001
IMG_6852-001
IMG_6857-001 IMG_6860-001 
1-001
IMG_6917-001
IMG_6895-001
IMG_6912-001
IMG_6864-001
majaji wakifuatilia kinyang'anyiro-001majaji wakifuatilia kinyang’anyiro
IMG_6728-001

mashabiki-001
IMG_6812-001Mashabiki
Mshindi wa Tarent Miss Dar City Center, 2016 Sporah Luhende akiwa kwenye pozi-001  Sporah Luhende akiwa kwenye pozi

HATIMAYE shindano la kumtafuta Miss Dar City Centre Talent limefanyika usiku wa alhamisi  katika Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini Dar.
Katika kinyang’anyiro hicho, kilichoshirikisha warembo kibao hatimaye mrimbwende Sporah Luhende aliibuka mshindi wa kipaji baada ya kuimba Wimbo wa Mahaba Niue wa msanii Maua Sama.
Kilele cha shindano hilo la warembo linatarajiwa kuwa Mei 21, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Golden Tulip City Centre.
Shindano hilo limedhaminiwa na Kampuni ya Global Publishers kupitia Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba  inayoendeshwa kupitia Magazeti ya Championi, Ijumaa, Risasi, Amani, Uwazi  ambapo droo ya ndogo ya bahati nasibu hiyo itachezeshwa Mei, 18  na droo kubwa yenye ushindi wa nyumba itachezeshwa mwezi ujao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.