Skip to main content

Sporah Luhende Ndiye Mshindi wa Tarent Miss Dar City Center, 2016

Miss Dar city center Talent ilivyofana jana

6-001
IMG_6721-001
IMG_6840-001
IMG_6841-001
IMG_6843-001
IMG_6847-001
IMG_6852-001
IMG_6857-001 IMG_6860-001 
1-001
IMG_6917-001
IMG_6895-001
IMG_6912-001
IMG_6864-001
majaji wakifuatilia kinyang'anyiro-001majaji wakifuatilia kinyang’anyiro
IMG_6728-001

mashabiki-001
IMG_6812-001Mashabiki
Mshindi wa Tarent Miss Dar City Center, 2016 Sporah Luhende akiwa kwenye pozi-001  Sporah Luhende akiwa kwenye pozi

HATIMAYE shindano la kumtafuta Miss Dar City Centre Talent limefanyika usiku wa alhamisi  katika Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini Dar.
Katika kinyang’anyiro hicho, kilichoshirikisha warembo kibao hatimaye mrimbwende Sporah Luhende aliibuka mshindi wa kipaji baada ya kuimba Wimbo wa Mahaba Niue wa msanii Maua Sama.
Kilele cha shindano hilo la warembo linatarajiwa kuwa Mei 21, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Golden Tulip City Centre.
Shindano hilo limedhaminiwa na Kampuni ya Global Publishers kupitia Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba  inayoendeshwa kupitia Magazeti ya Championi, Ijumaa, Risasi, Amani, Uwazi  ambapo droo ya ndogo ya bahati nasibu hiyo itachezeshwa Mei, 18  na droo kubwa yenye ushindi wa nyumba itachezeshwa mwezi ujao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...